Bakharesa ni mmoja wa waathirika kibiashara maana Rwanda ilikuwa kama familia yake analisha kila kitu sembe, jui, maandazi yaani ni kwamba wanyarwanda walikuwa watoto wa kambo wa AZAM, kumbuka wakenya wanavizia opportunity hiyo.Rwanda hawataathirika na kuondoka kwa AZAM kwani wakenya wanakodolea macho na ndicho kenyata is EYEING FOR.Kifupi swala hili watanzania mlishabikia bila ku-assess impact na the multiplier effects.Dr.slaa mlimpuuza yeye alishauri badala ya mipasho wangekaa kwanza wawili at round table, that is hiow conflicts are always addressed.BIG UP DR.SLAAAA lastly the got the message from u