Rwanda, Uganda zajitoa Bandari ya Dar

Rwanda, Uganda zajitoa Bandari ya Dar

Hao wasafirishaji kwa nini hawaleti mchanganuo wa kitakwimu....

1. Inachukua siku ngapi kuondosha kontena bandarini (Dsm/Mombasa)
2. Gharama za uondoshaji huo zikoje?
3. Unatumia siku ngapi kusafirisha kontena kwenda Uganda ama Rwanda?
4. Kero za traffic police kwa Tanzania na Kenya zikoje?

Kubwa zaidi hao kina Hanspope watwambie tukiondoa mizani wanatuhakikishiaje kuwa hawatabeba mizigo zaidi ya uzito unaoruhusiwa???

Bila kufanya haya tutakuwa tunapiga siasa tu!!

Kikubwa serikali yetu iongeze ufanisi tu bandarini, barabara ziimarishwe, tufufue reli ya kati jambo ambalo kina Hanspope hawato-support....mwisho wa siku wafanya biashara wa Rwanda na Uganda wataangalia njia ipi inawapa faida!!!!
La muhimu zaidi ni kumarisha reli zetu za TAZARA na TRL. Kiukweli hata usafirishaji kwa kutumia barabara ni kikwazo kikuu kwa bandari na uchumi wetu kwa ujumla.
 
Bandari yetu ingekuwa inafanya kazi inavyopaswa, wala hamna mtu angeondoka, with or without ugomvi.


Halafu bila haya kiongozi anasema haoni mantiki!

Ataonaje mantiki kwani ameshashiba mpaka anataka kupasuka. Kwa mfanyabiashara yyt yule wa ukweli, makini na anayejua nn maana ya biashara akipoteza hata shilingi moja kwa siku, kwa uzembe kwake hiyo ni hasara kubwa sana, ila atahakikisha by any means necessary kesho isipotee tena.
 
ni mara kumi sisi tufunge mkanda kuliko kuwaandalia wajuku zetu m23. Kama drc wangewafukuza miaka ile leo kusingekua ni kikundi kinachoitwa m23 kikidai kumegewa sehemu ya drc. Kwanza siku zijazo tunategemea kuanza kusafirisha nikel tani milion tisa kwa mwaka kitu ambacho bandari ya mombasa haiwezi kufikia.

sisi tunaolipa kodii tunajuaa uchungu wa kauli kama hiizii.. Tra ongezeani wigo wa walipa kodiii, ili kila mtuu ajue gharama za maishaa... Usafirishaji wa nickel utakusaidia nini....??!! Hawa viongozi walioua reli leo wanakaribia kuua bandari kutokana na rushwa na urasimu uliokithiri kwenye bandari na barabara zetuu.. Sisi hayo hatuyaoni tunaona watutsi tuuu.... Kweli tuna laana kila kitu tunakichukulia subjectivee.... Inatia hasiraa...
 
sisi tunaolipa kodii tunajuaa uchungu wa kauli kama hiizii.. Tra ongezeani wigo wa walipa kodiii, ili kila mtuu ajue gharama za maishaa... Usafirishaji wa nickel utakusaidia nini....??!! Hawa viongozi walioua reli leo wanakaribia kuua bandari kutokana na rushwa na urasimu uliokithiri kwenye bandari na barabara zetuu.. Sisi hayo hatuyaoni tunaona watutsi tuuu.... Kweli tuna laana kila kitu tunakichukulia subjectivee.... Inatia hasiraa...


Unamaanisha nini unaposema kua usafirishaji wa nikel hauna faida, kwa taarifa tu uzaklishaji wa nekel ukianza mapato yatajayotokana na reli yataongezeka sana.
 
NO NEED of KNEEL DOWN but govt must eases and facilitate the all routine objections,let programe the better way so that our service will quickest,fast enough/I DONT NO FOR CORRUPTIVE GOVT& EGOISM AMONG LEADERS god bless tanzania

English ze problem!!!!!
 
Malawi na kwenyewe majanga

na ndio hatari ninayoiona mimi, tunanze kuimalisha undugu wetu na Malawi, Botswana, Afrika Kusini, Zambia na Namibia ! Integration na hao jamaa zitawatisha hao wapenda vita.
 
Bakharesa ni mmoja wa waathirika kibiashara maana Rwanda ilikuwa kama familia yake analisha kila kitu sembe, jui, maandazi yaani ni kwamba wanyarwanda walikuwa watoto wa kambo wa AZAM, kumbuka wakenya wanavizia opportunity hiyo.Rwanda hawataathirika na kuondoka kwa AZAM kwani wakenya wanakodolea macho na ndicho kenyata is EYEING FOR.Kifupi swala hili watanzania mlishabikia bila ku-assess impact na the multiplier effects.Dr.slaa mlimpuuza yeye alishauri badala ya mipasho wangekaa kwanza wawili at round table, that is hiow conflicts are always addressed.BIG UP DR.SLAAAA lastly the got the message from u

Mtu yeyote mwenye akili zake timamu unajiuliza kama kulikua na busara ya aina yoyote kwa JK na Membe wake kuugeza bifu lao binafsi na PK kama ugomvi wa mataifa haya jirani!

Walisahau kwamba ushirikiano baina ya nchi ni wa wananchi siyo viongozi/watawala. Si wasafirishaji na wafanyabiashara tu watahathirika bali na wasomi wetu wengi walioko Kigali wakifanya kazi za kitaalamu.

Kama kawaida ya JK baada ya kugundua alichemka,akiwa Malawi amedai eti migogoro inakuzwa na wapinzani!! Ktk nchi zote 5 za EAC,Rwanda ndiyo ilikua nchi rahisi sana kwa mfanyabiashara wa Kitanzania kufungua biashara. Watawala dhaifu hata huko wameharibu!
 
Acha wajitoe ili akili ya ziada itumike kuanzisha vyanzo muhimu vya pesa pasipo kumgusa maskini wa nchi hii. Madini yanaendesha nchi pamoja na wanyama..kulaladek
 
Unamaanisha nini unaposema kua usafirishaji wa nikel hauna faida, kwa taarifa tu uzaklishaji wa nekel ukianza mapato yatajayotokana na reli yataongezeka sana.


Hizo ni ndoto au umesahau...walipikuwa wanasifia mkonga eti gharama za simu zitashuka internate fsaster.tukaambiwa watoto watasoma kwa computer mwalimu yupo dar bukoba unafungua tu lap yako unamuona mwalim leo yako wapi umeme tuliambiwa itakuwa historia kukatka leo tu usiku kucha umekatika mara 5....migodi nk
 
Unamaanisha nini unaposema kua usafirishaji wa nikel hauna faida, kwa taarifa tu uzaklishaji wa nekel ukianza mapato yatajayotokana na reli yataongezeka sana.

hiii serikali haiko serius katika kusanya mapato, uwajibikaji, ufanisi na kuthibiti rushwa... HAHAHAHAHA UNANIFURAHISHA NA HADIDHI YA NICKEL... Congo wana madini mengi zaidi yetuu lakini kwa sababu wana serikali mbovu wamekuwa maskini wa kutupwa... Maamuzi yetu si ya kibiashara na hatuoni mbali madini yanachimbwa kwa mrahaba wa asilimia tatu na viongozi wetuu ni walewale wanaotuhumiwa kwa kuingiza nchi kwenye mikataba mibuvuu,, umemuona chenge kwanye picha tuendelee kusubiri tuone hiyo nickel utafaidika nayo nini.... Kwangu mimi maamuzi yeyote mabaya yanayofanywa na serikali na kuifanya ipoteze kipata najua tuu lazima yataniumiza maana lazima waniongezee kodi kuziba nakisi ya haya mapato yatakayopotea.. Ndio maana nailaumu sana TRA ingekuwa imembana kina mtanzania akalipa kodiii tungekuwa wakali na tusingekubali upuuuzi wa viongozi wetuuu...

Hebu pitia majibu ya Chenge na Huyo katibu mkuu wizara ujiridhishe kwanzaaa... Chenge yeye anataka aandikiwe baruaa, Katibu mkuu wa wizara anasema hayana maantiki... ndio maana nacheka .... angalia ni watu wangapi wanaishambulia hii threaad... kweli hayana maaantiki...!!?? niambie sasa nickel inatoka au haitokii?!!!! hahahahahaha
There are currently 2100 users browsing this thread. (113 members and 1987 guests)
 
Kwa wachumi mtanisaidia kidogo, kwani nachanganyikiwa na sirikali reactive.

Maka jana mh.rais alizinDUA KWA MBWEMBWE a five years strategic Plan.mwaka huu ktk bajeti ya nchi imeletwa bila kufuata vipau mbele ktk strategic plan ya nchi, baada ya miezi kadhaa tumeletewa the BIG RESULT NOW nashindwa kuunganisha kipi kinaanza na kipi kinafuata.
Nhi hii kwa MAJANGA kwa kukosa maarifa


Mkuu Lu-ma-ga, kwanza heshima kwa michango yako.

Kifupi serikali ya ccm inaongoza nchi kwa matamko na propaganda hakuna vitendo bali maneno matupu na uzushi.

Kwa mantiki hii ya propaganda ndipo tunapoibuka na mikurabita, mikukuta, mikakati kabambe, strategic plan nk.

Mwisho wa yote wakitoka habari maelezo wanasahau hatakabla hawajalala wameplan nini na nini vipaumbele walivyokubaliana.
 
Tuache kulaumu na kumtafuta mchawi, kwa hili wachawi wetu wapo hapa hapa tz...
Na sisi tuwape ofisi wa Zambia, wamalawi warundi etc pale bandarini wasimamie mizigo yao wenyewe tuondoe vizuizi visivyo na tija zaidi ya usumbufu kwa wateja, na ushuru mia kidogo zisizo na kichwa wala miguu na traffic wadhibitiwe,
kama mzigo wa kutoka kenya utachukua siku tano kufika kigali kwa nini usichukue siku mbili kutoka Dar hadi a Burundi?
 
Nchi hizo tatu ambazo zimeruhusu kwa raia wao kusafiri kwa vitambulisho pale wanapotembelea nchi tatu miongoni mwao, zitakutana tena Kenya mwezi huu.

Zijitoe haraka maana ni kero. Uchumi wenye akili hautegemei nchi jirani. Na wewe sidhani ni mtu makini ni KANJANJA
 
Unataka tumlaumu nani? Babako?

Kama choo kimebomoka na mfuko wa simenti umepanda sana kiasi mtu wa chini ya dola moja hawezi kununua, alaumiwe nani?

watanzania kila kitu ni jk, hata ukibomokewa na choo unamlaum jk badala ya fundi wako.
 
Kwani hawa wakiondoka tunapata hasala gani taifa hili halitegemei mataifa ya nje.
 
Hii ni hatua njema, unapopita ktk wkati mgumu ndo unapata fursa ya kutafuta fursa zingine na kukufundisha namna yakuwa mshindani. Hii ni presha ili mpate kuingia ktk mitego yao ya EAC.
 
Back
Top Bottom