Jamani kujiunga JF na kupost hoja yoyote ni bure popote duniani.
Lakini kwa sasa wanyarwanda wamegundua kuwa njia ya kwanza na pekee ni kutumia JF kuendeleza propaganda zao dhidi ya Tanzania.Kinachofanyika ni kuanzisha mada za maslahi kwa Rwanda au kutafuta habari kwenye mitandao ya Rwanda na poopote duniani hasa zilizoandikiwa kwa maslahi nchi yao.
Shime watanzania,Mods na wamiliki wa JF kujua mapema huu mchezo kwani mbali na kuwa na uwanja mpana wa kujadili lolote lakini maslahi ya nchi yetu ni lazima kwanza tuyalinde hata kama viongozi wetu ni dhaifu.
Wakati wao wakifanya hivyo,sisi tuko kwenye majukwaa ya mapenzi na kushambuliana kwa hoja za CDM,CCM nk
Kuna member mmoja anaitwa
R.B .Taarifa za kiujasusi zinaonesha kwa huyo bwana yuko tanzania dar lakini akifanya kazi kwa karibu sana na rwanda katika ofisi ya ikulu ya kagame kitengo cha habari .anafanya hivyo baada ya kugundua nguvu ya JF.Kuna kikosi kabisa cha kufanya hii kazi
Naingiza hapa post zake za hivi karibuni.Yeye anadil na mambo ya rwanda tu.
1.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/509508-rwanda-tanzania-edging-closer-to-war.html
2.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/509466-rwanda-uganda-zajitoa-bandari-ya-dar.html
Nitarudi na wengine