Papaa Tony
Member
- Aug 21, 2013
- 65
- 48
Hello! JF mi naona hapa tunatwanga maji kwenye kinu, mafisadi wamekula hela za bandari hazijawatosha wanataka kuhamia kwenye vitengo vingine, Hanspope anasema vikwazo ni ving atwambie ni nani mwenye jukumu la kumaliza matatizo hayo, ili tumpe taarifa kuhusu malalamiko yake, Wamelikoroga lazima walinywe