JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,309
- 5,464
Akisoma hukumu hiyo ya kesi ya Jinai Na 31 ya mwaka 2023, Hakimu mkazi wa Mahakama hiyo Mh. O. N. Ngatunga alisema Mahakama imefikia uamuzi huo baada ya kujiridhisha na ushahidi uliotolewa pasipo shaka yoyote.
Mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Julay 07,2023 majira ya saa kumi na Moja jioni huko Kijiji cha Tingi - Nyasa na kufikishwa mahakamani tarehe Julay 25.2023 na October 25,2023 hukumu ilitoka na kupatikana na hatia ya kosa hilo.