Kama sikosei, mpaka usiku wa kuamkia leo, ilotangazwa wanajeshi 15,000 waliluwa wameingia cremea.
Wanajeshi wa Russia au marekani??
Kama sikosei, mpaka usiku wa kuamkia leo, ilotangazwa wanajeshi 15,000 waliluwa wameingia cremea.
kwenye nuclear exchange kati ya marekani na russia hakutakua na mshindi,dunia itabakia majivu,tukiwamo na sisi,sio jambo la kushabikia.
Inaitwa Mutual Assuared Destruction(MAD)
I
But mkuu hebu tuwekeni mbali ushabiki,hii kitu ikitimua,mbio nani atashinda the race??
Urusi na marekani??
Mkuu jaribu kuangali kwenye raman u will see military base za marekani zipo poland na TurkeyMkuu Si USA wala EU wala NATO wala URUSI wanao weza kuingia vitani, Hizi nchi mbili kumbuka wana makombora ya hatari na si kama huko kwa warabu ambako USA huenda kuweka meli zake, kwa URUSI na haiwezekani kwa sababu URUSI ana makombola yote yakuweza kuzamisha zile manowari za USA na hata ULAYA hakuna nchi hata moja inayo weza kukubali, nchi yake iwe kituo cha USA.
ulisha wahi kujiluza ni kwa nini ule mpango wa USA kweka makombola ya kujilinda kule Ulaya mashairiki ulikufa, URUSI alitishia kupiga nchi itakayo kubali na wakina Poland ilibidi wakatae na mwazo walikuwa walisha kubali.
Hakuna kitu hiyo, kuna only blockadesAnd so it began.
Russian army are attacking sevastopol,ukrain pravda confirm,russian attacking the ukrainian 39th naval training unit.
Mkuu wewe huwafahamu Warusi.
They can be pig headed hasa wakati huu ambapo nchi za magharibi zimecheza rafu kando mwa nchi yake.
If anything to go by, Georgia ilibomondwa bila West kufanya lolote.
Katika hili licha ya Urusi kuahidi kuisaidia Ukraine wakaamua kumpindua rais kwa msaada wa West,
Ukraine ndo inavunjika hivo , Urusi imeamua kuisaidia Crimea,yenye warusi wengi.
Warusi ukiwachokoza tegemea kiburi, na West wameipata sasa.
Katika hili the west can only watch and they will do NOTHING.
Thanks mkuu!John kelly rule out the use of military to counter Russia invansion.
Kerry: Repercussions for Putin 'act of aggression' | Boston Herald
Russia na marekani hawawezi kupigana kamwe kwani wana walitiliana mkataba wa kutokupigana miaka ya nyuma ambao una dumu mpaka leo.
Admiral Berezovsky head of ukraine Navy resign and order soldier to standdown.
![]()
Akili ya Putin ni ya kizamani sana. Ni mmoja wa wale wanaojaribu kuandika historia ya zamani upya badala ya kuwa anafanya kazi ya kuweka historia mpya. Mgogoro huu ni mdogo sana lakini unaweza kuwa na madhara makubwa sana kwa dunia ya leo kutokana na ubongo wa Putin kama ilivyokuwa kwamba vita ya pili ya dunia ilisababishwa na ubongo wa Hitler kutaka kuandika upya historia ya zamani kuhusu himaya ya ujerumani.
Wewe unaelekea kuwa anti-western na hivyo ku-distort facts against nchi za magharibi. Kuhusu upigwaji wa Libya, kwanza Obama hakupenda kabisa kuihusisha Marekani mpaka pale umoja wa mataifa ulipoingilia ili kukomesha mauaji ya raia. Ni kweli kuwa Marekani iko visible sana kwa sababu ya ukubwa wake, kulikuwa na majeshi mengi ya kutoka nchi za kiarabu, zaidi ya yale ya nchi za ulaya na Marekani. China yenyewe (ndumila kuwili) nayo ilipeleka meli yake ya kijeshi kule Libya ingawa mara ya kwanza walikuwa wakisita.Mkuu inaelekea wewe ni mmoja wa waathirika wa propaganda za magharibi kupitia CNN na mashirika mengine.
Siongei kwa jazba wala hisia.
Naongea straight inferences kutokana na matukio yaliyo wazi.
Ukiongea juu juu ya internal politics za Marekani na jinsi zinavyjiinflunce kwenye foreign policy yao, hilo ni tatizo lao.
Kwa Libya, get your facts correct.
Marekani ilitoa kibali kupitia UN ili Libya ipigwe , ila yenyewe ilisema haitopeleka majeshi ila misaada na intllijensia.
Hiyo misaada kwa waasi iliyotolewa kwa kupitia NATO, ambayo Marekani ni mwanachama namba moja, ndio iliyo mwondoa Gadaffi.
Usisahau kuwa ni satelite positioning radars za Marekani ndixo xilizo pin point mtaro alimojificha Gadaffi na hatimaye kuuwawa.
Kwa kuipindua Libya Marekani inahusika kwa 100%.
Tuambie sasa walikua wanazungumzia nini?
Zen tupe source maana sijasikia British Broadicasting Corporation wala Caple News Network, wakisema jana hawa jamaa wamebonga!!!