Obama piga Putin!!!
Putin ana mikwara tu but when its comes for action he proved wrong
Us na NATO watamtoa kwenye ikulu ya kremine faster we jaribu kuivamia ukrain
naona unaifurahisha nafsi
Obama piga Putin!!!
Putin ana mikwara tu but when its comes for action he proved wrong
Us na NATO watamtoa kwenye ikulu ya kremine faster we jaribu kuivamia ukrain
Rais wa marekani obama akiöngea na rais wa russia putin,jana tarehe 1 march.
![]()
Mkuu naomba tembelea web hii www.businessinsider.com
Cheki wajomba vifaa vya kijeshi walovyonanavyo, na budget yao
Us is the superpower country in the world both in military,agents and economically status,unakumbuka ule ugomvi wa china na japan kuhusu kisiwa,sikumbuki jina la kisiwa
China alipiga mkwara hakuna kurusha ndege kwenye anga lile pale,ambaye angekaidi wangeidungua ile ndege
But wajomba kesho yake walipeleka B52 na hawakufanya lolote
Unakumbuka mkwara wa bwana mdogo king jong?? Yule rais wa korea kasikazini kuhusu kuichapa south Korea? Wajomba waliposogeza meli zao,dogo akaingia mitini
3. The art of war, then, is governed by five constant factors, to be taken into account in one's
deliberations, when seeking to determine the conditions obtaining in the field.
4. These are: (1) The Moral Law; (2) Heaven; (3) Earth; (4) The Commander; (5) Method and
discipline
Mkuu uhusiano wa russia na marekani uko kwenye mgogoro mkubwa Sana
Kwanza am sure Obama hawezi ongea na putin kwenye simu
Mbili kumbuka obama alikua na mazunguzo na putin last year ilikua September but walisitisha kutokana na yule bwana mdogo Edward snowden kukimbilia Russia na Putin akampa hifadhi
Pia mwaka jana kulikua na mkutano wa G20 ulifanyika St Petersburg russia, je uliona obama na Putin walivyosalimiana?? Hapakua na nyuso za furaha halafu leo useme eti Obama kaongea na Putin??
Mkuu MAWAZO UJENZI unaongea kwa kuhisi.?n kweli jana Obama na Putin wameongeza kwa simu kwa dk.90..
naona unaifurahisha nafsi
mkuu ni kweli kwasaa za huku usiku wa kuamkia leo obama kaongea na putin.ila walichoongea hakijasemwa na hiyo picha ni ya jana kweli,waweza google.Tuambie sasa walikua wanazungumzia nini?
Zen tupe source maana sijasikia British Broadicasting Corporation wala Caple News Network, wakisema jana hawa jamaa wamebonga!!!
mkuu ni kweli kwasaa za huku usiku wa kuamkia leo obama kaongea na putin.ila walichoongea hakijasemwa na hiyo picha ni ya jana kweli,waweza google.
Senator mac cain ndo alikua mchochezi mkubwa wa mambo haya huko ukraine,akipigia debe regime change december 2013.
Putin hawezi kukubali ujinga huo.
Senator John McCain En Route To Ukraine To Hasten Regime Change | Global Research
kwenye nuclear exchange kati ya marekani na russia hakutakua na mshindi,dunia itabakia majivu,tukiwamo na sisi,sio jambo la kushabikia.I
But mkuu hebu tuwekeni mbali ushabiki,hii kitu ikitimua,mbio nani atashinda the race??
Urusi na marekani??
Vitu vimeisha fika na hapo marekani alie tu, Putin sio Yelsen.Unconfirmed report of a large number of russian troops and military vehicle on the boarder of russia and ukraine.
Sunday march 2.
08:30-ukraine armed force dispatched to crimea have started to switch side on a massive scale,turning themselves over to the new crimea government.weapons have been abandoned and takenover by crimean defence force.
Foxweekly.com -is reporting a video of S-400 Russian air defence weapons that look like nuke heading towards ukraine.
Things are really heatingup.
Tuambie sasa walikua wanazungumzia nini?
Zen tupe source maana sijasikia British Broadicasting Corporation wala Caple News Network, wakisema jana hawa jamaa wamebonga!!!