Russian invasion on Crimea is underway

Russian invasion on Crimea is underway

Urusi ana hali mbaya kiuchumi lakini ana silaha za kutosha kuangamiza dunia.na ndio mtaji wake uliobaki,ndio maana kila siku haishi chokoza chokoza,wamarekani na uingereza wanalijua hilo.ndio maana hawana haraka nae maana wanajua hata wakiingia vitani,ni wao ndio watapoteza yeye mrusi alishapoteza zamani sana.

Ana hari ipi mbaya? Wewe unajua ni wangapi kwa uchumi mkubwa? Au unaongea tu.
 
Putin anaweza kuwa anatumia mwanya uliopo kwenye political system ya Marekani kuhusu mgawanyiko wa Republican na Democrats; ila itakapofika kuwa enough is enough na jamaa wakawa Marekani moja kama ilivyokuwa 9/11 utashangaa kuona mabavu ya Marekani dhidi ya Putin na wafuasi wake. Cold War iliyokwishwa zaidi miaka 20 iliiypita na kuacxha superpower mmoja haiwezi kurudi tena leo. Sehemu kubwa sana ya teknolojia inayotumiwa na urusi leo imetoka marekani, na vile vile uchumi wote wa urusi leo unategema sana gesi wanayouza kwenye nchi za NATO.
Mkuu analysis yako ni WRONG!

Mrusi bado ni mrusi, kama kuna somo mrusi amejifunza ni la Iraq na Libya juu ya Intentions za nchi za magharibi.
Checkmate tumeiona Syria, mrusi kasema hatoki mtu pale, na sasa ni stale mate!

Una sahau juu ya Georgia, Marekani walipiga makelele sana lakini mrusi akamwadabisha Georgia kwa kupekeka majeshi NDANI ya nchi hiyo na kufanya kile atakacho.

Nakushangaa kuwashabikia marekani na nchi za magharibi, ama sivyo utuambie Iraq ina jema gani wakati 9/11 muasisi wake ni Bin Laden, Msaudi Arabia.
Na Gaddafi kafanya kosa lipi na wa Libya wako wapi sasa.

Nakuambia katika hili la Ukraine Urusi haija paparika imepiga mahesabu , na utaona pengine Ukraine ikisambaratika.
Crimea kuna warusi wengi na jimbo lenye mamlaka yake.

Magharibi wamechochea migomo na TV za CNN na wengine walikuwa wakichekelea wakati molotov coctails zilikuwa zikirushwa dhidi ya rais halali.

Sasa warusi wamefanya vivyo huko Crimea, sasa CNN na TV za magharibi zinalia lia, tit for tat.
Ninavyomfahamu mrusi, ngoma bado mbichi, na kama unafikiri ati mrusi anamtegemea Mmarekani, stay around to be proved wrong again.
 
Mkuu analysis yako ni WRONG!

Mrusi bado ni mrusi, kama kuna somo mrusi amejifunza ni la Iraq na Libya juu ya Intentions za nchi za magharibi.
Checkmate tumeiona Syria, mrusi kasema hatoki mtu pale, na sasa ni stale mate!

Una sahau juu ya Georgia, Marekani walipiga makelele sana lakini mrusi akamwadabisha Georgia kwa kupekeka majeshi NDANI ya nchi hiyo na kufanya kile atakacho.

Nakushangaa kuwashabikia marekani na nchi za magharibi, ama sivyo utuambie Iraq ina jema gani wakati 9/11 muasisi wake ni Bin Laden, Msaudi Arabia.
Na Gaddafi kafanya kosa lipi na wa Libya wako wapi sasa.

Nakuambia katika hili la Ukraine Urusi haija paparika imepiga mahesabu , na utaona pengine Ukraine ikisambaratika.
Crimea kuna warudi wengi na jimbo lenye mamlaka yake.

Magharibi wamechochea migomo na TV za CNN na wengine walikuwa wakichekelea wakati molotov coctails zilikuwa zikirushwa dhidi ya rais halali.

Sasa warudi wamefanya vivyo huko Crimea, sasa CNN na TV za magharibi zinalia lia, tit for tat.
Ninavyomfahamu mrusi, ngoma bado mbichi, na kama unafikiri ati mrusi anamtegemea Mmarekani, stay around to be proved wrong again.
Umeongea point tupu, big up.
 
Mkuu analysis yako ni WRONG!

Mrusi bado ni mrusi, kama kuna somo mrusi amejifunza ni la Iraq na Libya juu ya Intentions za nchi za magharibi.
Checkmate tumeiona Syria, mrusi kasema hatoki mtu pale, na sasa ni stale mate!

Una sahau juu ya Georgia, Marekani walipiga makelele sana lakini mrusi akamwadabisha Georgia kwa kupekeka majeshi NDANI ya nchi hiyo na kufanya kile atakacho.

Nakushangaa kuwashabikia marekani na nchi za magharibi, ama sivyo utuambie Iraq ina jema gani wakati 9/11 muasisi wake ni Bin Laden, Msaudi Arabia.
Na Gaddafi kafanya kosa lipi na wa Libya wako wapi sasa.

Nakuambia katika hili la Ukraine Urusi haija paparika imepiga mahesabu , na utaona pengine Ukraine ikisambaratika.
Crimea kuna warudi wengi na jimbo lenye mamlaka yake.

Magharibi wamechochea migomo na TV za CNN na wengine walikuwa wakichekelea wakati molotov coctails zilikuwa zikirushwa dhidi ya rais halali.

Sasa warudi wamefanya vivyo huko Crimea, sasa CNN na TV za magharibi zinalia lia, tit for tat.
Ninavyomfahamu mrusi, ngoma bado mbichi, na kama unafikiri ati mrusi anamtegemea Mmarekani, stay around to be proved wrong again.

Usongee kwa hisia; matatizo makubwa ya Marekani yako kwenye political system yao, ambapo wakati Rais Obama ni demokrat, congress inayoidhisha matumizi ya serikali iko mikononi mwa Republican. Sitaki kuandika kuwa kutokana na Obama kuwa mweusi kuna republicans kadhaa wanataka utawala wake uwe wenye matatizo makubwa. Ila ukweli ni kuwa Marekani ikiamua kuvuruga na kuondoka itafanya kweli kweli. Tatizo jingine liko kwenye ustaarabu wao kuwa huwa hawataki kuvuruga nchi na kuondoka bila kuacha utawala madhubuti. Ndiyo maana hata huko Afghansitani wanamuomoa rais Kharzai ambaye ni wao waliomweka na wanaweza kumwondoa wakati wowote wakitaka. Kuanguka kwa Libya hakukutokana na mkono wa Marekani bali kulitokana na mambo yao wenywe ya ndani kwa ndani na makosa ya Ghadafi kuadhibu raia wasiokuwa na hatia hivyo kuufaanya umoja wa mataifa uingile. Ni kweli kuwa prefect mkuu wa umoja wa Mataifa ni Marekani, lakini yaliyotokea Libya hayakuwa na maslahi kwa marekani bali kwa ilikuwa ni kwa sababu ya kasoro za Ghadaffi na umoja wa mataifa.
 
Urusi ana hali mbaya kiuchumi lakini ana silaha za kutosha kuangamiza dunia.na ndio mtaji wake uliobaki,ndio maana kila siku haishi chokoza chokoza,wamarekani na uingereza wanalijua hilo.ndio maana hawana haraka nae maana wanajua hata wakiingia vitani,ni wao ndio watapoteza yeye mrusi alishapoteza zamani sana.
urusi anaogopa jinsi NATO anavyozidi kunyemelea mpakani mwake,hiyo ndo bifu kubwa.baada ya kuisha kwa vita baridi warusi walivunja umoja wao wa kijeshi wa WARSAW PACT kwa nia nzuri kabisa,lakini ajabu nchi za magharibi walibaki na NATO,na mbaya zaidi wakaanza kuzishawishi nchi zilizojitenga na urusi kujiunga na NATO,jambo lilowafanya warusi waanze kuhisi wanazungukwa kijeshi.kwani imekua tabia ya wamarekani kuwazunguka kijeshi nchi adui,mfano kile kinachoendelea huko china etc.

Pia hata kuanguka kwa ukominist inasema ni njama wamarekani walifanya kwahiyo lazima warusi wahofie ukraine kutaka kujiunga na EU.
Upande wa kiuchumi Russia na wazalishaji wa pili wakubwa wa mafuta duniani baada ya saudia.
Pia wanazalisha gase nyingi sana ambayo inategemewa na nchi za ulaya kama germany etc,na pipeline zote zimepitia ukraine kwenda ulaya.
 
Hapa kuna mastori ile mbaya, nasubiria.
nawakumbuka kina breznev, andropov eeeh jamani urusi ya kjb mbona hivi?

leteni mastory masela wangu!!!!
 
Ukraine news has stated that it officially declare war and full military mobilisation is now taking place in ukraine to defend against Russia.
They have also asked for help from NATO and EU.
At the sametimes news are saying ukraind navy flagship the Hetman sahaidachny frigate has reportedly refused to follow order from Kiev and come over to Russia's side and is returning home after taking part in NATO operation in the gulf of Aden flying the Russian naval flag.

From texas US 2nd armored division and 1st cavalry division are mobilizing,these are the division which spearheaded the invansion of irag back in 2003.
The sh*t is about to hit the fan.
 
Askari wa russia wakipatrol uwanja wa ndege wa simferopol huko crimea,ukraine.
bs5312633a.jpg
 
Obama piga Putin!!!
Putin ana mikwara tu but when its comes for action he proved wrong
Us na NATO watamtoa kwenye ikulu ya kremine faster we jaribu kuivamia ukrain
 
Surveillance pic of russian soldier in crimea.
f980ed8-625.jpg.pagespeed.ce.a2psAPJFDa.jpg
 
Na hii ni neema kwa nchi zinazoendelea...sasa tutapumua... na tutafanya mambo yetu kwa nafasi.

Mkuu,

Huu mgogoro uki escalate unaweza kuzaa world war three

WW3 itakuaje neema kwa nchi zetu?
 
Rais wa marekani obama akiöngea na rais wa russia putin,jana tarehe 1 march.
12864176923_e7906e894e_m.jpg
 
Obama piga Putin!!!
Putin ana mikwara tu but when its comes for action he proved wrong
Us na NATO watamtoa kwenye ikulu ya kremine faster we jaribu kuivamia ukrain

Mkuu,Putin is not just some third world leader you can bully into submission

Let me remind you Putin ana control ya over 4000 nuclear warheads

Russion ndo nchi pekee yenye Intercontinental Ballistic Missiles(ICBM) nyingi in service

Tayari kuna Russian warship ime dock Havana,Cuba yenye uwezo wa anti-aircraft missiles na makombora mengine ya hatari ya kuishambulia Miami

Hii kitu ni hatari
 
Mkuu Putin kwa us na NATO atachapika tu
Kumbuka Russia aliweka vinu vya nuclea Cuba, wajomba wakamtisha akavihamisha
Marekani imeweka millitary base yake pale Poland,Russia kapiga kelele we but kimya hadi sasa hv
 
Na mkuu kumbuka Tech anayotumia Russia, wajomba walishapita huko long time
 
Mkuu,

Huu mgogoro uki escalate unaweza kuzaa world war three

WW3 itakuaje neema kwa nchi zetu?
Kipindi cha WW1 na WW2 mataifa mengi yanayoendela yalikuwa makoloni ya mataifa makubwa...hivyo tulilazimishwa kuingia vita hivyo....kwa sasa tuko huru...Vita ya wakubwa yaani Urusi na US + EU haitatuhusu moja kwa moja. Ila kwa kwa kuwa tunategemea misaada kutoka kwa wakubwa hawa kwa ajiri ya mipango yetu tutayumba ila hatuaanguka. Pia mbinu zao za kutuvuruga na kutuhujumu ili tupigane sisi kwa sisi zitapungua au kusitishwa...na tutapanga mambo yetu kwa uhuru zaidi.

Ila faida kubwa ni kuwa sasa sisi kama nchi tutapata muda sasa wa kushiriki kujitegemea na kujiendeleza sisi wenyewe (Si unajua Necessity is the Mother of Creativity), pia majirani wakigombana wewe shika jembe ukalime na sasa tulime kweli tutoke vijiweni. Hii itakuwa fursa nchi zinazoendelea kujiimarisha na kuanza kupaa kuwa kama hawa wakubwa walioko anga ya saba kimaendeleo.
 
Usongee kwa hisia; matatizo makubwa ya Marekani yako kwenye political system yao, ambapo wakati Rais Obama ni demokrat, congress inayoidhisha matumizi ya serikali iko mikononi mwa Republican. Sitaki kuandika kuwa kutokana na Obama kuwa mweusi kuna republicans kadhaa wanataka utawala wake uwe wenye matatizo makubwa. Ila ukweli ni kuwa Marekani ikiamua kuvuruga na kuondoka itafanya kweli kweli. Tatizo jingine liko kwenye ustaarabu wao kuwa huwa hawataki kuvuruga nchi na kuondoka bila kuacha utawala madhubuti. Ndiyo maana hata huko Afghansitani wanamuomoa rais Kharzai ambaye ni wao waliomweka na wanaweza kumwondoa wakati wowote wakitaka. Kuanguka kwa Libya hakukutokana na mkono wa Marekani bali kulitokana na mambo yao wenywe ya ndani kwa ndani na makosa ya Ghadafi kuadhibu raia wasiokuwa na hatia hivyo kuufaanya umoja wa mataifa uingile. Ni kweli kuwa prefect mkuu wa umoja wa Mataifa ni Marekani, lakini yaliyotokea Libya hayakuwa na maslahi kwa marekani bali kwa ilikuwa ni kwa sababu ya kasoro za Ghadaffi na umoja wa mataifa.
Mkuu inaelekea wewe ni mmoja wa waathirika wa propaganda za magharibi kupitia CNN na mashirika mengine.
Siongei kwa jazba wala hisia.

Naongea straight inferences kutokana na matukio yaliyo wazi.

Ukiongea juu juu ya internal politics za Marekani na jinsi zinavyjiinflunce kwenye foreign policy yao, hilo ni tatizo lao.

Kwa Libya, get your facts correct.
Marekani ilitoa kibali kupitia UN ili Libya ipigwe , ila yenyewe ilisema haitopeleka majeshi ila misaada na intllijensia.
Hiyo misaada kwa waasi iliyotolewa kwa kupitia NATO, ambayo Marekani ni mwanachama namba moja, ndio iliyo mwondoa Gadaffi.

Usisahau kuwa ni satelite positioning radars za Marekani ndixo xilizo pin point mtaro alimojificha Gadaffi na hatimaye kuuwawa.
Kwa kuipindua Libya Marekani inahusika kwa 100%.
 
Obama piga Putin!!!
Putin ana mikwara tu but when its comes for action he proved wrong
Us na NATO watamtoa kwenye ikulu ya kremine faster we jaribu kuivamia ukrain
Mkuu unaongea kitu unachokijua au wapiga makelele tu?
Putin yuko on record kuingia Gerogia na kupiga jamaa waliokuwa wana "kidomo domo" cha kushabikia magharibi.
Kwa taarifa yako kama hujui, jeshi la Russia lina makao NDANI ya Ukraine mashariki, likitokea la kutokea nakuachia ujijibu.
 
Back
Top Bottom