Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 16,305
- 33,763
Ndugu yangu uliye m-quote ni Kichuguu, mashambulizi unayaelekeza kwangu. Hebu angalia unachojibu kwanza kabla hujaandika.Nguruvi3,
Mimi sishangilii vita, ninacho kwambia wewe kuwa Empire era zimepitwa, Ukraine na Russia sio Libya. Iraq na Afghanistan zimewatoa kamasi. Marekani hawezi kuwa kijibwa maji wa Myahudi akaleta ujinga wake Russia. Tena huyo Myahudi ashukuru kwa sababu anaoshindana na Putin ni Neo- Nazis wanaotaka kufanya ubaguzi. This time litajulikana la kumenya na kuchinja.
Na wewe unaekaa huko uliko kama una ki green card chako uchwara cha magendo utarudi kwenu Bongo uje kulima mahindi.
Kuna ardhi ya kutosha huku ya kukuendeshea maisha usisubiri Chadema kushika madaraka ndio urudi maana utasubiri sana. Chadema ni Antichrist entity haiwezi kushinda uchaguzi kirahisi rahisi. Kwanza kisu cha kuimaliza Chadema kiko Zanzibar na tutaichinja dakika za mwisho kikose usajili. Teh teh teh
Punguza hasira, pata funda tatu za maji ya ukwaju ukiwa kitako.
Ahsante