Rushwa za ngono kwa lecturers vyuoni

Rushwa za ngono kwa lecturers vyuoni

na wanawake nao wamezidi kujirahisisha...mhadhiri hawezi kummendea msichana ambaye hajajipendekeza kwake. punguzeni kujipendekeza dada zetu, vinginevyo mtagegedwa mpaka papuchi zitawaka moto!
 
Wewe sasa hivi karibu kila simu ina record...hata hakuna haja ya kuunda tume...unaweza kusanya ushaidi mwenyewe...mi wala sikubaliani na hawa wanaolalama...mimi mwenyewe nafundisha...and am telling you watu wanao appeal in many cases unajikuta unashangaa ametoa wapi nguvu za ku appeal wakati hakuna alichojibu...acheni porojo...someni...

Na appeal zinazopita unakuta ni sababu tu external examiner ameamua kutumia power yake kuongeza tu marks...

Nani ata risk kazi yake sababu ya ngono wakati wanawake wapo kila kona...mnakubali wenyewe kuwa na mahusiano ili mpewe marks...

Naona mge suggest kuwa iwekwe sheria ya kuzuia mahusiano ya kimapenzi kati ya lecturer na mwanafunzi...hata mimi ntaunga mkono...maana kuna watu wanapewa marks za ch.upi...

Ila kusema wanalazimishwa...nakataa...kama hutaki huwezi kulazimishwa kwa tishio la kufelishwa...kwa sababu hakuna chuo kitakachomlinda lecturer anayedai rushwa ya ngono pindi ikibainika...

wadada wengne huwa wana tabia ya kujitongozeshatongozesha kwa marecturers ili wapewe maks za mezani. Matokeo yake marecturer nao wanakuja kujenga tabia ya kuomba uroda ili watoe maks maana washajengewa mazingira kwamba hilo linawezekana
 
Uoga ndo unaowaponza dada zetu. Naamini kila chuo kuna vyombo vinasgughurikia haya mambo.

Mfano ktk chuo flanu nilifanya kazi miaka flani. Kuna baadhi ya walimu wakawa na tuhuma za kuomba hiyo rushwa. Mwisho wa siku mtu anayelalamika akiambiwa asimame kutoa ushahidi anaogopa na kusema basi yaishe.

So wadada wanatakiwa wawe na usiri. Ukipatwa na tatizo kama hilo waone ofisi ya malezi(Dean of Students) watakupa muongozo na nina imani watakulinda.

Ni hayo tu!!
 
Huwa sionani na watu, lakini kwa hili nidai zawadi na nitakuletea.

Kupenda dezo ya marks kubaya sana, hasa kama hajui where to stop,plus kutpjiamini

Haya mambo wawadanganye ambao hawajapitia vyuoni...rushwa ya ngono ni two way traffic...na wengi wa wanaolalamika vichwani zero...huwezi kuwa na akili ukajiliza eti lecturer ananitaka..
 
Wewe sasa hivi karibu kila simu ina record...hata hakuna haja ya kuunda tume...unaweza kusanya ushaidi mwenyewe...mi wala sikubaliani na hawa wanaolalama...mimi mwenyewe nafundisha...and am telling you watu wanao appeal in many cases unajikuta unashangaa ametoa wapi nguvu za ku appeal wakati hakuna alichojibu...acheni porojo...someni...

Na appeal zinazopita unakuta ni sababu tu external examiner ameamua kutumia power yake kuongeza tu marks...

Nani ata risk kazi yake sababu ya ngono wakati wanawake wapo kila kona...mnakubali wenyewe kuwa na mahusiano ili mpewe marks...

Naona mge suggest kuwa iwekwe sheria ya kuzuia mahusiano ya kimapenzi kati ya lecturer na mwanafunzi...hata mimi ntaunga mkono...maana kuna watu wanapewa marks za ch.upi...

Ila kusema wanalazimishwa...nakataa...kama hutaki huwezi kulazimishwa kwa tishio la kufelishwa...kwa sababu hakuna chuo kitakachomlinda lecturer anayedai rushwa ya ngono pindi ikibainika...

Mkuu mwanafunzi akijilengesha kwako mpe no yangu nimtatue rinda na sup unampa
 
usipotoa rushwa unaonekana huna ushirikiano, matokeo yake ni kupigwa sap.
 
Mnapenda kujadili vitu bila data. Chunguzeni ndio mlete humu. Utafiti tuliofanya UDSM,ARU,MZUMBE na IFM mahusiano yapo,ila kufelishwa au kudisco sababu ya kukataa mapenzi hakuna wanafunzi wanafeli kwanza ndio wanasingizia kutakwa kimapenzi kabla ya kufeli hakuna hizo habari.huwezi zuia mahusiano vyuoni. Mkiwa vyuoni someni sio mademu na kujirusha unaanza shule week 14.
 
Kwa nini unasema haiwezekani kuzuia mahusiano vyuoni...? Mbona vyuo vya nje walimu wana discipline?
Mimi nadhani ingepigwa marufuku kuchukua mwanafunzi kwa kuwa hutaweza control bias kwenye usaishaji...achana na suala la ku victimize mwanafunzi (ambalo nimelitetea kuwa halipo) lakini la marksi za chupi lipo sana na dawa ni kupiga marufuku mahusiano ya mwanafunzi na mwalimu...

Else basi unatakiwa u declare interest kuwa huyu binti ni msichana wangu sitaweza mark paper yake...

Kuna walimu wa kiume wanawapa marks wanawake wao vilaza...hiyo na mimi nakubaliana nalo...though hawawezi kupata first class kwa kuwa walimu wengine wanawalima kama kawa...
same applies kwa hao wanaolalamika...iweje wakufelishe walimu 4...iweje wakupasishe walimu wote miaka yote 3 au 4...ndio maana ku bank kwenye marks za chupi lazima umalize na ngoma...maana inabidi utembeze papuchi kwa more than one lecturer...

Mnapenda kujadili vitu bila data. Chunguzeni ndio mlete humu. Utafiti tuliofanya UDSM,ARU,MZUMBE na IFM mahusiano yapo,ila kufelishwa au kudisco sababu ya kukataa mapenzi hakuna wanafunzi wanafeli kwanza ndio wanasingizia kutakwa kimapenzi kabla ya kufeli hakuna hizo habari.huwezi zuia mahusiano vyuoni. Mkiwa vyuoni someni sio mademu na kujirusha unaanza shule week 14.
 
Sikatai hizo kesi zipo. Mwaka 2010 ilitokea kwenye idara yetu ila wasichana 4 walimgombania lecturer na wakapigana ndio kesi ikaja kwa mkuu wa idara. Tukamwekea mtego na kumkamata PR nyumba ya wageni Sinza. Kama dada yako Ana hakika huko SAUT mitego IPO na mhalifu anakamatwa na kuadhibiwa ila wengi wao wanataka wenyewe. Katika tafiti yangu wanafunzi wa like hutuma hata picha zao za siri kwa walimu.
 
sup 4,.!! Kwahyo dada yako ni mzuri kiasi kwamba alitakwa na walimu wanne??? Mpongeze.


sometimes hawa lecturers wanakuwa na ushirikiano so ukizinguana na mmoja anawaambia na wenzake wakukarabati,au muda mwingine yeye anaweza asikushike ila akawaambia wenzake wakushike(muda mwingine ili kupoteza ushahidi) na hii huwa inatokea mara nyingi kwa wanafunzi wakiume wenye bifu na malecturer.
 
Jamani mi naona tujadili kwa hoja namna hawajamaa wanavyoomba rushwa na wanapo kataliwa namna gani wanafikia hatua ya kuwapa sup hawa Dada zetu. Nikiwa pale chuo kikuu kuna Dada mmoja alipataga sup kwa uzembe au kihalali kabisa, badala yakuitoa ilesup yeye kwa kukusudia akaenda kumbeleza lecturer acute sup akijifanya eti anampenda kweli yule lecturer alimtega mwisho wasiku sup ikafutwa na yeye akawa ajigamba kwa wenzie. Sasa huyo aliepata sup NNE inamaana huyo aliempa sup anafundisha kozi NNE peke yake? Maana isije ikawa alipata sup kihalali lakini yeye katika kujitetea anasema lecturer aliye mtongoza amemfelisha kitu ambacho so cha kweli. Tunaomba wadada wachangie katika Hilo watuambie ukubwa was tatizo ukoje.
 
sahihi kabisa,kuna
uwezekano hizi SAP ziliongezwa..Ila sasa vyuo vingine siunajua kuwa
ukipata SUP zaidi ya 3 kwaheri.....?!!

kweli sis tuliposomea sap 3 byeeee basi ajitaidi afanye atatoka
 
Inategemea na situation mamie....nilikumbwa na mkasa huooo...ningeshare ila ndo mpaka nipate ruhusa ya kusimulia......!

Ila sio wote vilaza, kuna wakati unaweza kujikuta uko kwenye trap..huna la kufanya...!

Wasichana ni waoga sana, sometime unatongozwa kawaida wewe badala ya kuchomoa unaanza kuweweseka ni rushwa ya ngono, kuna tofauti ya kutakwa na rushwa ya ngono, lecturers wengine wameoa wanafunzi wao
 
Haombwi ombwi tu kila mmoja. Wanaombwa wanaojirahisisha.
Alafu usisahau kuna wasichana siku hizi wanasingizia kigezo cha kutakwa na lect pale wanapofeli somo... nina mifano zaidi ya minne kwa hili
 
ha ha ah...na ukute katika waliomkamata kuna ma lecturer wa kike...ha ha ha...acheni kulia lia...someni....
uki appeal paper inapitiwa upya tena na external examiner...afu unakuta marks zinashuka zaidi badala ya kupanda...

Watu tumesoma vyuo hiv hivi...na tuna mvuto na hakuna aliyewahi hata kutusemesha neno kuhusu love...sababu kichwani zimo...someni hachaneni na facebook...

Hivi kumbe we ni mwanamke... Umeongea point aisee, mie ninajua ukiwa mzuri wa class na sura hata mwalim anakuogopa..atakukamatajeee? Pepa umejibu vzr, hata asahishr nani uko above, hakuna wa kukuonea cha zaidi ni kuogopwa tu. Nlisoma nae mmoja alikua kichwa balaa GPA 4.6 (Fc) pa1 na uzuri
 
Mh lakn jamn sup 4 n masome manne tena walimu tofaut au huyo lectuer aanafundsha yote!!!am doubting!!!bt me pia n mwanafunz wa chuo waschana wanajipeleka wenyew so wanategemea nn?kma umefanyiwa hvyo appeal!!wasichana acheni tabia hyo!!
 
sometimes hawa lecturers wanakuwa na ushirikiano so ukizinguana na mmoja anawaambia na wenzake wakukarabati,au muda mwingine yeye anaweza asikushike ila akawaambia wenzake wakushike(muda mwingine ili kupoteza ushahidi) na hii huwa inatokea mara nyingi kwa wanafunzi wakiume wenye bifu na malecturer.

acheni mawazo ya ki mulugo nyiee,,,,,, someni.
 
Aiseerr.......niliwahi kutojaziwa course work yangu na mwalimu wa somo fulan nikiwa chuo,nia ilikuwa niwe na incomplete course work nisifanye final na hyo ni technical supp kisa ananitaka kimapenzi.

Kama mara 2 nilikwenda kudai marks zangu alikuwa ananizungusha nakuniambia anataka ninachokimiliki,nilimrecord mara zote mbili.Mara ya mwisho nikaenda nakuonesha msimamo wangu wa kudai changu akanivuta nakutaka kunishika.

Ndipo kesi ilipoanza.....mpaka navyoongea sasa hv yule mwalimu kafukuzwa hapo chuoni,kafukuzwa kwenye nyumba ya chuo.Chuo nmemaliza lakin alinishtaki mahakamani.

Bado nakomaa nae mahakamani.Kama dada yako alistahili hzo marks basi alipaswa kujiamini na kukusanya ushahidi na kumlipua huyo mtu.
 
Back
Top Bottom