Jonatus
JF-Expert Member
- Dec 16, 2013
- 1,403
- 379
Itakuwa udhalilishaji....
Ila wanafunzi wengi wanajilengeshaga tu ,tena wakati mwingine unakuwa ni mpango mkakati wa darasa zima.
Duuh kumripoti mtu na kuleta uthibitisho ni kumdhalilisha hapo sasa
Itakuwa udhalilishaji....
Ila wanafunzi wengi wanajilengeshaga tu ,tena wakati mwingine unakuwa ni mpango mkakati wa darasa zima.
Duuh kumripoti mtu na kuleta uthibitisho ni kumdhalilisha hapo sasa
kwa wa kaka je hali ikoje?
huenda hapa tz ndio limekithiri
1. Ukijiheshimu sidhani kama utasumbuliwa kuna wadada wengine unaweza kukuta wanajipendekeza au kujichekelesha kwa lecturers ili wapewe marks za bure.
2. Na kama kuna vithibitisho vya uonevu kwanini asishtakiwe kwenye uongozi wa juu?
3. Hizo supplementary 4 i doubt kama kweli,nahisi kuna za halali kafeli mwenyewe bila kufelishwa.
Hii mada imenifanya nikumbuka kipindi niko chuoni kuna mwalimu alikuwa ananichukia saaaana...
Sielewi kwa nini maana alikuwa anampenda sana best yangu...tena anampenda saaana; lakini hawakuwa lovers ila unaona kabisa akiingia darasani attention yote kwa huyu mdada (wanatoka mkoa mmoja ambao by then wasomi wa kuhesabu)...
Sijui alikuwa ananiona mimi namzibia or what...sielewi...
Huyu mwalimu alikuwa TA tu ...sasa kuna zile group assignment; group langu lilipata marks za mkiani...nadhani 2/10 maana marks 5 zilikuwa marking 5 presentation...mi ndo nilipresent paper yetu...yani kila baada ya dk mmoja ananikatisha kunipinga tena kwa kejeli yani ile intimidation ya wazi mpaka darasa zima linanicheka...
But you know what...the lecturer himself alikuwa baba mmoja mtu mzima sana...yeye alikuwa na marks 90 zilizobaki...huyu TA alichoka siku anagawa course work mimi nina marks nyingi kuliko yeyote (niliongoza...ilikuwa law) yani nilimwangalia kwa kejeli nikaona anatetemeka kwa hasira...
Baadae na mimi nikaajiriwa na chuo hicho hicho...nikimwangalia sasa hivi natamani kumkumbusha maana anajikausha...
Ndio maana nasema the so called victims (kama wapo) wana tatizo zaidi ya hilo...hawajiwezi darasani...
Hii mada imenifanya nikumbuka kipindi niko chuoni kuna mwalimu alikuwa ananichukia saaaana...
Sielewi kwa nini maana alikuwa anampenda sana best yangu...tena anampenda saaana; lakini hawakuwa lovers ila unaona kabisa akiingia darasani attention yote kwa huyu mdada (wanatoka mkoa mmoja ambao by then wasomi wa kuhesabu)...
Sijui alikuwa ananiona mimi namzibia or what...sielewi...
Huyu mwalimu alikuwa TA tu ...sasa kuna zile group assignment; group langu lilipata marks za mkiani...nadhani 2/10 maana marks 5 zilikuwa marking 5 presentation...mi ndo nilipresent paper yetu...yani kila baada ya dk mmoja ananikatisha kunipinga tena kwa kejeli yani ile intimidation ya wazi mpaka darasa zima linanicheka...
But you know what...the lecturer himself alikuwa baba mmoja mtu mzima sana...yeye alikuwa na marks 90 zilizobaki...huyu TA alichoka siku anagawa course work mimi nina marks nyingi kuliko yeyote (niliongoza...ilikuwa law) yani nilimwangalia kwa kejeli nikaona anatetemeka kwa hasira...
Baadae na mimi nikaajiriwa na chuo hicho hicho...nikimwangalia sasa hivi natamani kumkumbusha maana anajikausha...
Ndio maana nasema the so called victims (kama wapo) wana tatizo zaidi ya hilo...hawajiwezi darasani...
Siamini km huu uzi umekosa michango ya kutosha!
mke wa jamaa yng alitakwa na lecturer, daah alikosa raha!
Niliomba kuuziwa kesi, nilivoimaliza sasa! Yule lecturer hatakaa anisahau dawamu!
Haya mambo wawadanganye ambao hawajapitia vyuoni...rushwa ya ngono ni two way traffic...na wengi wa wanaolalamika vichwani zero...huwezi kuwa na akili ukajiliza eti lecturer ananitaka..
This's a GREAT TESTIMONY!, hongera sana mfano wa kuigwa....kichwani to be precise!, itasaidia kwa mtu aliyekata tamaa,
Hivi I have a question, ume mentiona kuwe na sheria ya kulinda wanafunzi in this area, hii nchi haina sheria kabisa kama hiyo au hata ya kufanana nayo?
Hakuna sheria...well sheria could be too much maana hatuwezi ku code kila kitu into law...
Ila walau Wizara ya Elimu ingekuwa na codes of conduct (sijuhi Ethics) kuwa ni marufuku mwalimu ku date mwanafunzi...au kwa kuwa ni watu wazima, basi mahusiano ya hivyo yawe reported kwa uongozi wa chuo ili yawe monitored yasivuruge utaratibu wa ku control quality ya wanafunzi...
Hili pia lita limit walimu vitombi...mwalimu mmoja wasichana 100...
Aibu kwa kweli...na ni kweli wanawapa wanawake wao marks wasizostahili...
Ila kwa kuwa most of them ni vilaza..hizo marks haziwatoi mkiani...kwingine wananing'inia...but that's not fair kwa wanafunzi wanaojipinda na wasiopenda upuuzi...
That's what I Meant @#nyumbakubwa, Code of Ethics, kulinda wanafunzi especially wa kike na wanaojituma cause hao vilaza wanaendeleza tabia mbofumbofu mpaka wanapokuwa makazini, utakuta hardworkers rarely go far but vilaza do, wanakuwa na mahusiano na bosses and all they do is spread their legs, and they are in rubbing shoulders with the big shots
Jamani mi naona tujadili kwa hoja namna hawajamaa wanavyoomba rushwa na wanapo kataliwa namna gani wanafikia hatua ya kuwapa sup hawa Dada zetu. Nikiwa pale chuo kikuu kuna Dada mmoja alipataga sup kwa uzembe au kihalali kabisa, badala yakuitoa ilesup yeye kwa kukusudia akaenda kumbeleza lecturer acute sup akijifanya eti anampenda kweli yule lecturer alimtega mwisho wasiku sup ikafutwa na yeye akawa ajigamba kwa wenzie. Sasa huyo aliepata sup NNE inamaana huyo aliempa sup anafundisha kozi NNE peke yake? Maana isije ikawa alipata sup kihalali lakini yeye katika kujitetea anasema lecturer aliye mtongoza amemfelisha kitu ambacho so cha kweli. Tunaomba wadada wachangie katika Hilo watuambie ukubwa was tatizo ukoje.
I wish watu wa Wizara wangepitia huu uzi..
Na Utumishi as well...
I also hate it pale anapoachwa mtu anayejipinda afu lijitu lina spread her legs ili liwe promoted...
Nikimaliza shule ntaandika paper kuhusu hii issue afu na publish, copy ntawapa utumishi na wizara ya elimu...
Maana wa kuleta changes ni mimi na wewe...
Kuna mjerumani mmoja anafanya research kuhusu elimu ya Tz nilifanya nae skype interview...yani nilifika kipindi nikawa naona aibu kwa niaba alivyokuwa ananitwanga maswali...na hili aligusia..
To my knowledge walimu wa sekondari kushuka chini wana discipline zaidi kwenye hili kwa kuwa Wizara na jamii haiwachekei ...vyuoni ndio hali mbaya kwa kuwa no one cares..
Kwa nini alikushtaki sasa??kwa kosa gani??