Meizon
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 279
- 105
- Thread starter
- #21
ahsante kwa hii thread nilikuwa naiwazia kitambo sanaaaaaa!!!!!
tusemeni tu ukweli bila kuonea nchi ya tanzania ni ya kixenge!!!
kwa sababu kama raisi anashindwa kuliendesha baraza lake si aachie madaraka!! mimi ila tanzania elimu yake na uongozi wake wa kixenge!!!
nina ushaidi juu ya rafiki yangu amedisco kisa amemgombania demu na lecturer demu kamkataa lecturer mwisho wa siku jamaa kadisco na hii inatokana hakuna mahali pa kuweka haya mashtaka elimu ya juu ni ya udhalilishaji lecturer waxenge sana!!!
ngoja kidogo niweke chaji niwarudie wanajeshi nao pia waxenge wanatabia hizi hizi haonewi mtu ila ni ukweli unawekwa wazi..........!!!!
Nakubali,uongozi karibu katika kila nyanja umekuwa tatizo nchini Tanzania....hilo liko wazi,viongozi wa kweli wengi walishwa kufa "kama sio kuuawa"..ni shida.