Rushwa za ngono kwa lecturers vyuoni

Rushwa za ngono kwa lecturers vyuoni

Huu ni uongo,Mimi ni lecturer na tangu nasoma hapo 2003 kulikuwa na maneno Haya. Nilipoajiriwa hapo hapo nimefanya tafiti binafsi nimegundua wanafunzi hujilengesha ili wapewe marks Hii ni 70%. 30% ni mengineyo. Sapu ni process inayoanzia assignment,test 2 au 3 na final exam.hivi humo mote unaonewa we umekaa tu.kuwa na sapu moja inaweza fikirika. Bali sapu 4 ???.hapo wengi hutafuta scape route. Matokeo yote yanakuwa checked so kama umeonewa una haki kuappeal. Hapa wengi mnadanganyana.wanyonge tunyongeni ila haki yetu tupeni.

nina rafiki yangu amedisco kisa amegombea demu na lecturer halafu wewe unaongea utumbo gani humu!!!!
 
sa nyingine nawazaaaa, naona bora chuo kikuu kungekua na mtihani wa taifa tu.....yani maisha ya mwanachuo yapo mikononi mwalecture..! agrrh
 
Sikatai hizo kesi zipo. Mwaka 2010 ilitokea kwenye idara yetu ila wasichana 4 walimgombania lecturer na wakapigana ndio kesi ikaja kwa mkuu wa idara. Tukamwekea mtego na kumkamata PR nyumba ya wageni Sinza. Kama dada yako Ana hakika huko SAUT mitego IPO na mhalifu anakamatwa na kuadhibiwa ila wengi wao wanataka wenyewe. Katika tafiti yangu wanafunzi wa like hutuma hata picha zao za siri kwa walimu.
 
Godfrey Jackson wewe ni mwongo mtaje chuo na somo analofundisha naahidi nakupa laki 5. Unipm namba yako na yake.kuna process za kudisco acha ujinga.
 
nakutaja ww lectural mwamfu.......... ulichomfanyia dada wa watu mpaka kumtafutia kosa na dada wa watu kaacha chuo kisa ww ?????haina shida mungu anamtetea huku mtaani na ameshaenda chuo kingine ila laana ya kupenda ngona itakupeleka pabaya,maisha mafupi duniani tunapita dada wa watu angemaliza chuo muda sana ila ujue mpaka sasa ananung'unika kwa sababu yako

Heeeee......Mwamfu...wa UD... au????!!!
 
Nadhani waathirika tunao humu.

mnaonaje tuwataje kwa majina na vyuo walipo hao lecturers.
 
Haya mambo wawadanganye ambao hawajapitia vyuoni...rushwa ya ngono ni two way traffic...na wengi wa wanaolalamika vichwani zero...huwezi kuwa na akili ukajiliza eti lecturer ananitaka..

Ujue watu weshakariri inabid ifike mahali watu tuchange kwa mfano kwani lecturer akija class akifanya yake akiondoka na wew ukifanya yako ukiondoka atakuonea wapi? Ujue hawo unakuta washakuwa wapenz tayari afu wakazinguana
 
ha ha ah...na ukute katika waliomkamata kuna ma lecturer wa kike...ha ha ha...acheni kulia lia...someni....
uki appeal paper inapitiwa upya tena na external examiner...afu unakuta marks zinashuka zaidi badala ya kupanda...

Watu tumesoma vyuo hiv hivi...na tuna mvuto na hakuna aliyewahi hata kutusemesha neno kuhusu love...sababu kichwani zimo...someni hachaneni na facebook...

sup 4,.!! Kwahyo dada yako ni mzuri kiasi kwamba alitakwa na walimu wanne??? Mpongeze.
 
Mimi na mchapa risasi
Aka namtoa uhai, nipe jina lake fasta tukamloge asisimamishe milele
 
Haya mambo wawadanganye ambao hawajapitia vyuoni...rushwa ya ngono ni two way traffic...na wengi wa wanaolalamika vichwani zero...huwezi kuwa na akili ukajiliza eti lecturer ananitaka..

Inategemea na situation mamie....nilikumbwa na mkasa huooo...ningeshare ila ndo mpaka nipate ruhusa ya kusimulia......!

Ila sio wote vilaza, kuna wakati unaweza kujikuta uko kwenye trap..huna la kufanya...!
 
Inategemea na situation mamie....nilikumbwa na mkasa huooo...ningeshare ila ndo mpaka nipate ruhusa ya kusimulia......!

Ila sio wote vilaza, kuna wakati unaweza kujikuta uko kwenye trap..huna la kufanya...!

We naeee
 
Haya mambo wawadanganye ambao hawajapitia vyuoni...rushwa ya ngono ni two way traffic...na wengi wa wanaolalamika vichwani zero...huwezi kuwa na akili ukajiliza eti lecturer ananitaka..

Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom