ARIZ
Senior Member
- Apr 1, 2017
- 102
- 79
Mwaka 2014 tulikuwa na mradi kule mpwapwa sehemu inaitwa kiboriani kuna mission Moja ya waanglican ilisemekana ilijengwa na mjerumani aliyeenda kujificha hapo baada ya Vita kupamba Moto.
Wajukuu zake wakaahidi kuja kujenga hapo kituo wakatuma hela Kwa askofu chiwanga ili majengo yaanze kujengwa.walipofikia kupaua wakaja wenyewe na kuonyesha mahali pa kuchimba usiku wakatoa bati za kutosha kupaua kile kituo baada ya kupaua wakaondoka na mpaka Leo kile kituo hakijamalizika.
Wajukuu zake wakaahidi kuja kujenga hapo kituo wakatuma hela Kwa askofu chiwanga ili majengo yaanze kujengwa.walipofikia kupaua wakaja wenyewe na kuonyesha mahali pa kuchimba usiku wakatoa bati za kutosha kupaua kile kituo baada ya kupaua wakaondoka na mpaka Leo kile kituo hakijamalizika.