Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,970
- 10,462
Uliza wenyeji watakupa ufafanuzi. Ni muhimu sana kujifunza wenyeji wanasemaje, utapata mengihata Tanga wilaya ya kilindi, (kwediboma) nimeshuhudia stori kama hii, kwamba kuna mlima wanadai una hazina ya mjerumani ipo hapo sema kuna joka kubwa sana linalinda hazina hiyo.
N:B Sina hakika sana na mambo kama haya kama yana ukweli ndani yake.