Hii Akili ya Wachache sana bro.Huwa namjua mtu faster kupitia vile anavyowachukulia au kuwatendea watu aliowazidi au wasio na msaada kwenye life lake kama bar maids au maskini.. There is no way mtu mwema na real akawatendea vibaya
Mkuu umenikumbusha mbaliHuwa namjua mtu faster kupitia vile anavyowachukulia au kuwatendea watu aliowazidi au wasio na msaada kwenye life lake kama bar maids au maskini.. There is no way mtu mwema na real akawatendea vibaya
Kama zipi izo aiseNahisi sina rule yoyote specific kweny territory yangu.
Huwa natumia universal rules kudeal na watu/ Vitu kwenye territory yangu.
"Ili upendwe jipende wewe kwanza."Kama zipi izo aise