ilboru1995
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,329
- 269
wakati wenzako wanaomboleza wewe unafanya utani kwa nini mazoezi hayo hawajamfanyia mama yako?
Punguza Jazba BADO MMOJA! huu ni aina nyingine ya uandishi wa kufikirisha, btw toka lini kukawa na mazoezi ya kulengashabaha na kuua raia wasiokuwa na hatia isipokuwa bongo tu? wenzetu huwa wanatumia risasi za bandia ikibidi lakini hapa kwetu tumeshuhudia wananchi wakiuawa as if sheria inaruhusu...Tatizo Mfumo mzima umeoza Mkuu... Tena kwa taarifa tu, Said Mwema amesaidia sana kupunguza makali kiasi kwamba wasaidizi wake wanamuona nyoronyoro! Imagine Mahita angekuwa ndo IGP sasa hivi hali ingekuwa vipi...Hofu yangu ni kuwa soon Polisi nao wataanza kuwindwa maana action n reaction ziko sawa...