this is terribly painful. jamani poleni wafiwa wote.
kwa sisi watanzania wengine kuna haja ya kuzidi kuomba Mungu atuhurumie sana na hawa jeshi la polisi kwa maana sasa wote tunaishi katika hali ya uoga na wasiwasi pindi tunapowaona maafande walioapa kutulinda na mali zetu.
Mungu ibariki Tanzania
kwa sisi watanzania wengine kuna haja ya kuzidi kuomba Mungu atuhurumie sana na hawa jeshi la polisi kwa maana sasa wote tunaishi katika hali ya uoga na wasiwasi pindi tunapowaona maafande walioapa kutulinda na mali zetu.
Mungu ibariki Tanzania