Ruksa Ndoa ya Nitonye na Arabela

Ruksa Ndoa ya Nitonye na Arabela

Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Heaven on earth hakuna tatizo lolote ila nawasisi na Mamndenyi kwanini anipangie kufanyia kazi sm chache kutoka kwake,huku mke wangu Evelyn Salt ampangie maelfu ya km kutoka kwangu?¿ Tafakari. Afu na wewe huo uwanja wako unatutega bhana.
Slave hapa ni mwendo wa tafakari na chukua hatua ........nimekuelewa sasa..........

itabidi kesho nipunguze japo kidogo...wake zenu wasije nitimua hum ndani bure
 
Last edited by a moderator:
Hello Chitchat!
Nikiwa kama Mwenyekiti wa mahusiano,ninapenda kuwajulisha kuwa ndoa ya nitonye na Arabela nimeipitisha rasmi kuanzia leo tarehe 14 Sep 2013 hivyo ninawatakia heri katika maisha yao mapya ya ndoa!
Siruhusu tena pingamizi kwa ndoa hii!

Pia namuamuru Bishanga aniandalie List ya couple zote zilizojionyesha wazi na tuzipitie kuona kama zinafaa au bado ziko kwenye probation!
Kila member ahakikishe anapitiwa na hili zoezi ili kuepuka vurugu za kugombea mke au mume! zubedayo_mchuzi naomba uje tumalize ule mpango wetu wa kumchukua mimi49
N.B: Hakuna ndoa wa wake wawili au wanaume wawili..yan hakuna u-mswati!

Nawasilisha!
I remain
Erickb52
Mwenyekiti wa Mahusiano!



Copy Kwa: Bishanga Arushaone watu8 Filipo marejesho Mr Rocky Blaki Womani Cantalisia YNNAH KOKUTONA LiverpoolFC Mtambuzi Smile Mzee Baba V gfsonwin Evelyn Salt Chocs kipipi Nivea Lady doctor ladyfurahia Mentor Judgement Fixed Point snowhite charminglady sweetlady The secretary kiwatengu shansarie Mrembo by Nature Madame B Heaven on earth Slave stevoh Asprin KakaKiiza amu Paloma sosoliso TANMO Preta PakaJimmy Mzee wa Rula Kabakabana mimi49 Remmy Mwanyasi Asprin Kaizer @c6
Special Copy kwa Babu Dark City

Hahahahah shemeji Erickb52 huu umwenyekiti wako nna mashaka nao yaan kazi yako ni kuidhinisha ndoa tu! Bishanga mwambie Erickb52 ndoa yetu na Rejao haihitaji kupitishwa na mtu as ina umri mrefu wa kutosha.
 
Last edited by a moderator:
utawekaje watu kwenye probation wakati tayari wanakulana
mi yakwangu ni halali kabisa sina wasiwasi na hatuitaji usaili
 
utawekaje watu kwenye probation wakati tayari wanakulana
mi yakwangu ni halali kabisa sina wasiwasi na hatuitaji usaili

na wala haiitaji mjadala mpenzi wangu. kuna files kibao humu za ndoa yetu. love u love u....
 
Last edited by a moderator:
tena Mamndenyi bora unyamaze kabisa nilikuja huko mjini kwenu mkanifanyia vitimbi begi na hela zangu vimepotelea mkononi
Hahahhahaaa
Ushamba ni kama gunia la misumari yan ni shughuli sana kuwa mshamba
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom