Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,554
- 11,485
- Thread starter
- #181
Last edited by a moderator:
Mimi hapana elewa :bowl::bowl::bowl::bowl::bowl:
Heaven on earthSlave siku nyingine ukija mjini nitafute Heaven on earth kwa usalama wa pesa zako.......
Ooppss..Wengine tupo overloaded kumkichwa shem Erickb52...Dadaangu Chocs mbona simuoni mzima kabisa?Sasa mbona na wewe unataka kuwa kama Bishanga na mkewe The secretary ?
Kusoma hujui...sawa...je hata picha bado huelewi? Eboooooo
Uwiiii chereko chereko...=ndoa..!
mh mbona unaanza kunitisha wakati hata chereko bado :shock: Mtu mwenyewe kibogoyo mie hata meno sina...
mh mbona unaanza kunitisha wakati hata chereko bado :shock: Mtu mwenyewe kibogoyo mie hata meno sina...
Msalimie sana...Chocs hajambo kabisa atakuja usijali yuko busy tu na mambo ya familia
Kwani zimefika tatu?niliacha kupunguza msongamano ila ukimwona msalimie sana niulizie na talaka yangu mbona hatoi au ilikuwa rejea??
Mhm!malengo yako siyo mazuri!Dada yangu unampenda huyu Babu?