Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 23,943
- 29,299
Ruhusa hii imetolewa na jeshi la polisi ambao hawakukataza mikutano! Mikutano ilikatazwa na waziri wa mambo ya ndani.
Hivi sasa kuna ukamataji ambao huenda umelengwa kwa wafuasi wa Chadema, kinachokosekana ni viongozi wake na njia ya kuwapata ni kupitia majukwaa ya mikutano, hali ya kisiasa kwa hivi sasa ni tete kwani kila neno jukwaani linaweza kukutia matatani hata kama si kosa, ila dhamana haipo kwa utashi tu wa wakamataji!
Hivi sasa kuna ukamataji ambao huenda umelengwa kwa wafuasi wa Chadema, kinachokosekana ni viongozi wake na njia ya kuwapata ni kupitia majukwaa ya mikutano, hali ya kisiasa kwa hivi sasa ni tete kwani kila neno jukwaani linaweza kukutia matatani hata kama si kosa, ila dhamana haipo kwa utashi tu wa wakamataji!