Ruge ni mnyonyaji au mponyaji?

Ruge ni mnyonyaji au mponyaji?

Kama hujui Ruge anaitwa Rais wa Bongo flaver, unajua kwa nini? back days Ruge akiamua utoke unatoka na akiamua kukuzima usisikikie alifanya hivyo,, nipo kwenye indurstry hiyo najua nnachozungumzza!
....we boya tu!,hata kuandika hujui!..ukipigwa barida tu!
 
Kama hujui Ruge anaitwa Rais wa Bongo flaver, unajua kwa nini? back days Ruge akiamua utoke unatoka na akiamua kukuzima usisikikie alifanya hivyo,, nipo kwenye indurstry hiyo najua nnachozungumzza!
Nakupatia picha cjui utakuwa nani wewe
 
Kama hujui Ruge anaitwa Rais wa Bongo flaver, unajua kwa nini? back days Ruge akiamua utoke unatoka na akiamua kukuzima usisikikie alifanya hivyo,, nipo kwenye indurstry hiyo najua nnachozungumzza!
Huo uraisi kapewa na nani..Nani anamwita hivyo?
 
Kama hujui Ruge anaitwa Rais wa Bongo flaver, unajua kwa nini? back days Ruge akiamua utoke unatoka na akiamua kukuzima usisikikie alifanya hivyo,, nipo kwenye indurstry hiyo najua nnachozungumzza!
Hizi ni imani na ukiendelea kuiamini hivyo utaendelea kubaki hivyo hivyo!! Yy Ruge ndiyo anaebana kupigwa kwa nyimbo za wasanii vituo vingine?
 
RUGE KAMPIGIA CM MAXENCE MELO, MSG ZANGU MBILI NIZOTOA KWENYE UZI HUU ZISIWE DISPLAYED! KUMBE MSG ZANGU ZINACHOOOOMA! KAMA MOTO! NIMEGONGA KUNAKO! HIHIHIII! " ETI YOUR POST ARE WAITING FOR MODERATOR APPROVAL! TEH! ILA WALIOWAHI WAMESHAZIONA! Ruge!
 
Hivi hadi unaibiwa Idea wewe ulikuwa wafanya nini?
Ukiwa na idea na huna pesa wape wenye pesa waitembeze mbele ili ajira zipatikane,
Fact umeongea!! Utakuta mtu Ana idea ya mamilion ya hela halafu hana mtaji wa kuanzia kwanini usiwaachie wenye hela wakamilishe hiyo project na kuongeza ajira?? Wabongo tatizo ni kuona wivu kwa maendeleo kwa mtu anaezidi kutusua kila siku!!
 
Fact umeongea!! Utakuta mtu Ana idea ya mamilion ya hela halafu hana mtaji wa kuanzia kwanini usiwaachie wenye hela wakamilishe hiyo project na kuongeza ajira?? Wabongo tatizo ni kuona wivu kwa maendeleo kwa mtu anaezidi kutusua kila siku!!

Ukitaka watu wakuchukie pata maendelea kuwazidi wao, sana sana wale watu uliokua nao wanakuona, hawa huwa si wazuri siku zote hawaamini kama umetusua na kuwaacha hapo walipo.....
Ruge kajitahidi kuwataarifu watu fursa zilizopo, ila kwa aliyoyasema ni kwa wale wenye hela pekee wanaweza fanya.....

Kuna watu wako chuo na idea nzuri sana ila wanazilalia sababu tu hawana hela
 
Tokaaaaaa!! Nafikiri nipo na mtu kumbe nipo na kichwa kilicho jaa streesss za maisha!! Ukini quote sijibu tena!!! Darasa lipi ulilo toa???
wewe tetea ugali wako hapa usipofanya hivi huli
jinga wewe haiwezekani ukaumia kwa style hii ila huyo unayemtetea hana shukrani utafukuzwa tu
 
Ruge is more than exploiter...nchi kama china watu kama hawa wana uwawa!
He was the source ya kuiua East Coast,Kuwapoteza Gangwe Mob!...wenginw wanauliza idea inaibiwaje(poor minds) hamjawahi kuwa hata na mawazo ndio maana mnashindwa kuelewa inaibiwaje...Fiest wasanii wanaambiwa imba tutakupa promo..whats that shit!!Alimzunguka sugu na mradi wa maralia..nahii inahitaji shule kuijua...kamgandamiza na kumpoteza jayde..ikiwa bado alimgonga enzi za smooth vibe na mwanzo wa clouds..katafuta na kuwa cheua wafanyakazi kibao...where is mousud..unajuakuwa alifukuzwa for just one single letter!

Na soon ndio anapotea kwenye gemu..anajifanya eti entrepreneur and inspiration spiker..whats the shit kaona hiyo ndio fursa wakati ni mnyonyaji..wasio mjua ndio watakaa kumtetea hapa!
 
Ruge is more than exploiter...nchi kama china watu kama hawa wana uwawa!
He was the source ya kuiua East Coast,Kuwapoteza Gangwe Mob!...wenginw wanauliza idea inaibiwaje(poor minds) hamjawahi kuwa hata na mawazo ndio maana mnashindwa kuelewa inaibiwaje...Fiest wasanii wanaambiwa imba tutakupa promo..whats that shit!!Alimzunguka sugu na mradi wa maralia..nahii inahitaji shule kuijua...kamgandamiza na kumpoteza jayde..ikiwa bado alimgonga enzi za smooth vibe na mwanzo wa clouds..katafuta na kuwa cheua wafanyakazi kibao...where is mousud..unajuakuwa alifukuzwa for just one single letter!

Na soon ndio anapotea kwenye gemu..anajifanya eti entrepreneur and inspiration spiker..whats the shit kaona hiyo ndio fursa wakati ni mnyonyaji..wasio mjua ndio watakaa kumtetea hapa!
Aiseeeee
 
show zote zinazoandaliwa na CLOUDS MEDIA including FIESTA hakuna msanii yeyote ANAELIPWA ZAIDI YA LAKI 2! na ukigoma unaminyiwa nyimbo zako zisipewe airtime! chezea ruge weye!
 
show zote zinazoandaliwa na CLOUDS MEDIA including FIESTA hakuna msanii yeyote ANAELIPWA ZAIDI YA LAKI 2! na ukigoma unaminyiwa nyimbo zako zisipewe airtime! chezea ruge weye!
Mkuu hata kama mtu haumpendi kuongea uongo haisaidii..
 
show zote zinazoandaliwa na CLOUDS MEDIA including FIESTA hakuna msanii yeyote ANAELIPWA ZAIDI YA LAKI 2! na ukigoma unaminyiwa nyimbo zako zisipewe airtime! chezea ruge weye!

Mkuu unachosema ni kweli imgawa sina hakika juu ya kipato

Nakumbuka mshkaji flan hivi miaka ya 2002_2004 aliitoaga nyimbo yenye lines hizi "Madem Wa leo Wanachanganganya wanafanya mpaka mimi na Rafiki Tunagombana"

Waliintafiana na clouds kuhusu mambo ya show ama interview kama sijakosea since then hakuskika tena mpaka leo yupo anasugua kitaa tu .

So yasemwayo juu ya clouds yana uhalisia ndani yake

Clouds Media group Team Leaders kumbukeni Hyo ni taasisi inayotazamwa ulimwenguni so zingatieni maadili ya uongozi na si personal emotions
 
Back
Top Bottom