Ruge Ni mtu WA media, ukiacha radio presenter watu ambao wanamjua Ruge vizuri Ni wasanii, all in all Ruge sio mtu mzuri! Unategea afanye interviews then aseme mabaya yake? Keshaiba Sana idea za watu, keshaharibu Sana ndoto za vijana, keshaua Sana vipaji vya watu, kawadhulumu sanna wasanii! Kuna kipindi ilikua ukiwa Na idea washirikishe clouds itatoka, hata ingeenda lets say kwenye kampun x kwamba idea yako inawahusu, wangekwambia nenda clouds kamuone Ruge, akiwa interesting kushirikiana Na ww! Wao Kama kampun x wapo tayari.....hapo ndo watu walipokua wanapigwa Na Ruge, baada ya cku moja idea ishakua yake! Kipindi hicho COSOTA haina lolote!