Ameyasema hayo asubuhi hii redioni Clouds fm.. Ameamua hivyo kuonesha CLOUDS FM ni institution binafsi ina maamuzi yake!
Leo nimemsikiliza Ruge amekuwa akielezea back grounds za baadhi ya wasaniii ambao wamepita mikono mwa Clouds FM, kuna kitu nimegundua ... kwa sehemu kubwa Ruge na taasisi yake wamewainua wasanii wengi sana katika taifa hili na hata kama kuna makosa ya kibinadamu aliyoyafanya/anayoyafanya lakini mimi binafsi Ruge anastahili pongezi... kuna mambo ya majungu, wivu na roho mbaya za baadhi ya watu wa mjini wamekuwa wakuharibia maendeleo ya wengine...