prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,368
Salam wakuu, Sina mengi ila Juhudi za Lissu kumzungumzia Mbowe katika vyombo vya habari vya Kimataifa kuliwaweka Mahakama na Serikali kwenye wakati mgumu, Ilikua lazima Mbowe atoke kwa style hii, kwa masharti laini.
Jiwe Kumzungumzia Mo, Haki za Binadamu nao hawako nyuma.. Huu ni Mwanzo..
Shukran Lissu ,Matunda yanaonekana sasa. 😂
Jiwe Kumzungumzia Mo, Haki za Binadamu nao hawako nyuma.. Huu ni Mwanzo..
Shukran Lissu ,Matunda yanaonekana sasa. 😂