Rufaa ya Mh.Mbowe ni moja ya juhudi za Lissu.

Salam wakuu, Sina mengi ila Juhudi za Lissu kumzungumzia Mbowe katika vyombo vya habari vya Kimataifa kuliwaweka Mahakama na Serikali kwenye wakati mgumu, Ilikua lazima Mbowe atoke kwa style hii, kwa masharti laini.
Jiwe Kumzungumzia Mo, Haki za Binadamu nao hawako nyuma.. Huu ni Mwanzo..
Shukran Lissu ,Matunda yanaonekana sasa.
Apo mlipofikia ata Lisu anajua mnampa sifa za kijinga,Siamini kama Lisu ni mjinga kiasikwamba asitambue sasa mna mkejeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingabire wa rwanda alivyo achiwa akasema ni shinikizo la wazungu na sio huruma ya kagame, kagame akamsweka ndani hadileo yuko sero. Sasa mdanganyeni huyo jamaa yenu. Mdomo uliponza kichwa. Mwambieni ajifanye mdomo umeteleza baada ya kunywa Indian mahindra.
Hawa jamaa wanashida sehemu sio bure. Wao hawaoni La Mbowe kukaa miezi 4 ndani,wanaona la kutoka jana. Mtu kateseka miez minne huko ndani we unakuja na ngojera za lisu hahahahahahah.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
So Tanzania kwa sasa tunamuiga Kagame!?
Mkuu HAKUNA KESI YA KISIASA AU VIONGOZI WA JUU isiyo na mikono ya MAAGIZO KUTOKA JUU. Sema wenzetu mkiachiwa huru mnaamini ni uwezo wenu ila mkidakwa mnakimbilia kulia maagizo kutoka juu. Ni UTASHI wa kisiasa hutumika tu na si vinginevyo. Angalia habari za DPP kumfutia mashtaka mtu,mtu kubadilishiwa kesi au kupigwa Adhabu ndogo. Haya yote ni baadhi ya mambo unaona kesi zimeendeshwa kwa kufuata maagizo kutoka juu. Hazijaanza leo hizi, kulikua na kesi za akina chenge,mahalu, ditopile, zombe nk Hizi zote ni mwendelezo wa maagizo kutoka juu. Mnapofeli ni mkishinda kesi mnasahau kuwa bado maagizo kutoka juu yangeweza fanya msishinde. Hata hukumu ya jana ingeweza kupigwa danadana hadi mwezi ungekata.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Apo mlipofikia ata Lisu anajua mnampa sifa za kijinga,Siamini kama Lisu ni mjinga kiasikwamba asitambue sasa mna mkejeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuchukua Muda ila iko siku utaelewa, Kwa sasa endelea kusema ndiyo kwenye kilakitu kama kawa.
Ni kawaida ya WanaCCM kupingana na Ukweli 😂
 
Ingabire wa rwanda alivyo achiwa akasema ni shinikizo la wazungu na sio huruma ya kagame, kagame akamsweka ndani hadileo yuko sero. Sasa mdanganyeni huyo jamaa yenu. Mdomo uliponza kichwa. Mwambieni ajifanye mdomo umeteleza baada ya kunywa Indian mahindra.
Kwaio yupo jera mpaka leo ili hali tunajua wafungwa wote wa kisiaa kgame aliwa achia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: prs
Mkuu HAKUNA KESI YA KISIASA AU VIONGOZI WA JUU isiyo na mikono ya MAAGIZO KUTOKA JUU. Sema wenzetu mkiachiwa huru mnaamini ni uwezo wenu ila mkidakwa mnakimbilia kulia maagizo kutoka juu. Ni UTASHI wa kisiasa hutumika tu na si vinginevyo. Angalia habari za DPP kumfutia mashtaka mtu,mtu kubadilishiwa kesi au kupigwa Adhabu ndogo. Haya yote ni baadhi ya mambo unaona kesi zimeendeshwa kwa kufuata maagizo kutoka juu. Hazijaanza leo hizi, kulikua na kesi za akina chenge,mahalu, ditopile, zombe nk Hizi zote ni mwendelezo wa maagizo kutoka juu. Mnapofeli ni mkishinda kesi mnasahau kuwa bado maagizo kutoka juu yangeweza fanya msishinde. Hata hukumu ya jana ingeweza kupigwa danadana hadi mwezi ungekata.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.

Sasa ulichokuwa unabisha kwamba sio maagizo ya jiwe ni nini? Maana siku zote ulikuwa unaonyesha Mbowe kadharau mahakama na hivyo yuko ndani kiusahihi. Na sio kwamba unakiri kwamba hamna kesi isiyo na mkono wa kisiasa bali ni alichoongea hakimu wa jana ndio inabidi na ww ujifanye kwamba hakuna kesi isiyo na mkono toka juu. Hata kama ni mkono sio kwa upuuzi ule. Halafu rais anayejigamba kupambana na rushwa ndio anatoa rushwa kwa hakimu aliyemtumia kuchezea sheria awe jaji!

I told you before you are a mere stupid who pretending to know everything while you are not. Sasa kile ulichokuwa unatupotezea muda na maelezo marefu leo unakikiri kama kilivyo! Hata hilo shambulio la Lissu unalotolea povu hapa kumtetea jiwe ukweli jiwe ndio anayeendesha hizo siasa za kipuuzi nchini na kujenga chuki nchi hii.
 
  • Thanks
Reactions: prs
Back
Top Bottom