share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,461
Jiwe ni wa kuzomewa kila mahali! Jiwe na familia yake ni wanyama!!
Naam, jiwe ana roho chafu sana. Sidhani kama hata mke wake anamfurahia!!!
Jiwe ni wa kuzomewa kila mahali! Jiwe na familia yake ni wanyama!!
Kashasema tayari! Na kesho ataandamana kuuunga mkonoKwa hiyo Baba ubaya ndio anasweka watu ndani hapa kwetu ?
Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
Yaani jamaa wanamsifia jiwe mpaka wanaharibu, huyu ukimwambia uchawi ni sifa atakuambia jiwe ndiyo mchawi mkuu Afrika.Kumbe JPM ndiyo alikua anazuia dhamana!!!
Ahsante Mkuu kwa taarifa..
Acha ujinga wewe, Victoire Ingabire yuko huru mpaka kesho. Labda nimetoka usingizini na sina taarifa, tafadhali share any news article on rearrest. Tuache kusifia upumbavu na mateso kwa binadamu wengine. Kuku wewe umenikera sana.Ingabire wa rwanda alivyo achiwa akasema ni shinikizo la wazungu na sio huruma ya kagame, kagame akamsweka ndani hadileo yuko sero. Sasa mdanganyeni huyo jamaa yenu. Mdomo uliponza kichwa. Mwambieni ajifanye mdomo umeteleza baada ya kunywa Indian mahindra.
Amen. Na wewe ubarikiwe kwa michango yako mizuri ya mageuzi hapa jf. AMENEeh Mungu mbariki Tundu Lissu
🙏🏾Amen. Na wewe ubarikiwe kwa michango yako mizuri ya mageuzi hapa jf. AMEN
Huyo Jiwe wenu ndio mleta shida na chuki hapa nchini.Kwa hiyo JPM ndio alikuwa ameziagiza mahakama zimuweke ndani? Sasa tunaposema mahakama haziko huru huwa mnabisha nini?
👉🏿✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌
Ni mtu mbaya kulilo shetani. Ana roho mbaya sana. Roho ya chuki na visas. Pia hawezi siasa za ushindani.Naam, jiwe ana roho chafu sana. Sidhani kama hata mke wake anamfurahia!!!
huyo mpumbavu wa jiwe hajui kitu kwa kuongezea serikali ya Rwanda inatakiwa imlipe compesation ya $61,000Acha ujinga wewe, Victoire Ingabire yuko huru mpaka kesho. Labda nimetoka usingizini na sina taarifa, tafadhali share any news article on rearrest. Tuache kusifia upumbavu na mateso kwa binadamu wengine. Kuku wewe umenikera sana.
Victoria Ingabire alishaachiwa kitambo,tena bila mashartiIngabire wa rwanda alivyo achiwa akasema ni shinikizo la wazungu na sio huruma ya kagame, kagame akamsweka ndani hadileo yuko sero. Sasa mdanganyeni huyo jamaa yenu. Mdomo uliponza kichwa. Mwambieni ajifanye mdomo umeteleza baada ya kunywa Indian mahindra.
Watoto nao wanafuraha Baba karudi nyumbani,baada ya kuteseka kwa miezi 3 ..Daaahhh baada ya takribani miezi 3 Leo mh Mbowe amelala kwenye kiyoyozi home kwake.Mama Lilian Leo sijui kapika makande?mana mzee anapenda sana kande.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaahhh baada ya takribani miezi 3 Leo mh Mbowe amelala kwenye kiyoyozi home kwake.Mama Lilian Leo sijui kapika makande?mana mzee anapenda sana kande.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo liko wazi Mkuu. Hata wapambe wake humu JF wanalijua hilo.Ni mtu mbaya kulilo shetani. Ana roho mbaya sana. Roho ya chuki na visas. Pia hawezi siasa za ushindani.
Salam wakuu, Sina mengi ila Juhudi za Lissu kumzungumzia Mbowe katika vyombo vya habari vya Kimataifa kuliwaweka Mahakama na Serikali kwenye wakati mgumu, Ilikua lazima Mbowe atoke kwa style hii, kwa masharti laini.
Jiwe Kumzungumzia Mo, Haki za Binadamu nao hawako nyuma.. Huu ni Mwanzo..
Shukran Lissu ,Matunda yanaonekana sasa. 😂
Kwa hiyo JPM ndio alikuwa ameziagiza mahakama zimuweke ndani? Sasa tunaposema mahakama haziko huru huwa mnabisha nini?
Tuliza mzuka wa chuki maana utaita vidonda vya tumbo bure. Funga mkanda tu safari hii bado ni ndefu abiria.Mabeberu wake wamchukue jiwe waende nae huko wakamwonyeshe kazi kama walivyowahi kufanya kwa jenerali Noriega ,atuondokee huku ametuchosha na ushetani wake jitu sijui lina roho ya namna gani sijui ?