Rudisheni lugha ya Kiingereza shuleni kama lugha ya kufundishia

Sina hakika haya mawazo yako ni kwa sababu ya ujinga au unataka kupotosha kwa makusudi!

Ni ujinga usiomithirika kubeza lugha ya kingereza ilihali tunajua kabisa kwamba English is a Lingua Franca of many speech communities. Kubeza lugha ya malkia ni udhihirisho kuwa wewe fikra zako ni fupi kwa kiwango cha kuhuzunisha sana.

Mzungu hana time na kiswahili, yeye na economy tu.. ila wabongo sasa wanaishupalia kiingereza. Na akijua kiingereza mbona utakoma kiongozi 🤣🤣🤣 Tanzania nzima itajua 🤣🤣🤣 anaongea kiswahili anachanganya na kiingereza. Aise huu ni utumwa haswaa
 
Mwendazake alitaka lianzishwe somo la "Historia ya Tanzania" na lifundishwe kwa kiswahili kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha sita. Historia yenyewe ilikua ni kumtukuza mwendazake. Huyu jamaa alikichukia sana kiingereza. Waziri wa elimu naye alikwenda na mapigo ya muziki wa boss wake. Bado kuna watu walishangilia hii tabia.
Unajua kiingereza mkuu, mbona mweupe hivi kufikiri!!!

Sent from my INE-LX1r using JamiiForums mobile app
 
... wote ni mashuhuda jinsi Kiingereza kilivyotugeuza kituko siku zilizopita. Bosi akiongea watu mnainama kwa aibu? Sio tu lugha ila hata kujenga hoja na ushawishi ni zero. Tuondokane na ujinga ule! Haiwezekani bila kuwekeza sana kwenye elimu.

Sijajua siri ya hii kitu; hivi ni kwanini watoto wadogo, mfano wawili, chosen at random, huyu yuko mtaala wa Kiswahili na huyu yuko mtaala wa Kimalkia inakuwaje yule wa Kimalkia ana confidence ya hali juu mno na uwezo wa kujenga hoja na ushawishi kuliko yule wa Kiswahili hata kama lugha watakayokuwa wanatumia ku-argue ni Kiswahili?

Hebu wataalamu wa social sciences and human behavior fanyeni tafiti zenu mlete majibu badala ya kuwaachia wanasiasa laghai wanaojifanya kujua kila kitu wananchi wanachotaka bila hata kuwauliza hao wananchi.
Kumbe swala sio kiingereza ni mtaala wanaotumia kufundishia.
Huko IST kuna madarasa mpaka ya kireno, nenda kamguse huyo mtoto mjadili jambo kama unajua kireno utagundua kitu kingine.

Sent from my INE-LX1r using JamiiForums mobile app
 
Elimu yetu ni mbovu sababu ya kutumia kiingereza. Tungetumia kiswahili hadi PHD tungekuwa na elimu bora sana.
Ndio maana naichukia CCM...imejaa wapuuzi kama wewe halafu kwa ujinga wenu mnang'ang'ania kwa nguvu uongozi wa taifa hili huku uwezo, busara na hekima ni sufuri. Hizo PhD unazozitaja si ndio kama hizo za dhalimu mwendakuzimu aliyesalimu amri kwa corona?

Nina hakika kutojua Kiingereza kulichangia sana katika imani yake potofu ya kudhani anajua kumbe hajui chochote. Utajua dunia inaelekea wapi kama hujui Kiingereza (Kiswahili cha dunia) kama alivyotutahadharisha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP!)

Hakika adui mkubwa wa taifa letu ni CCM na tunakoelekea ni wazi kuwa kila awamu tutakuwa tunasukumiziwa kiongozi wa hovyo kuliko aliyemtangulia. Baada ya Mungu kutuokoa na kutuondolea dhalimu mwendakuzimu nilidhani tumejifunza kitu lakini aaaa wapi!
 
Ndio maana naichukia CCM...imejaa wapuuzi kama wewe halafu kwa ujinga wenu mnang'ang'ania kwa nguvu uongozi wa taifa hili huku uwezo, busara na hekima ni sufuri. Hizo PhD unazozitaja si ndio kama hizo za dhalimu mwendakuzimu aliyesalimu amri kwa corona?

Nina hakika kutojua Kiingereza kulichangia sana katika imani yake potofu ya kudhani anajua kumbe hajui chochote. Utajua dunia inaelekea wapi kama hujui Kiingereza (Kiswahili cha dunia) kama alivyotuhadharisha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (RIP!)

Hakika adui mkubwa wa taifa letu ni CCM na tunakoelekea ni wazi kuwa kila awamu tutakuwa tunasukumiziwa kiongozi wa hovyo kuliko aliyemtangulia. Baada ya Mungu kutuokoa na kutuondolea dhalimu mwendakuzimu nilidhani tumejifunza kitu lakini aaaa wapi!
Siyo kwa sababu kitu alisema baba wa taifa basi ndiyo sahihi. Kujifunga namna hiyo ni dalili ya kutoelimika. Kadri tunavyoendelea kutumia kiingereza kamw lugha ya kujifunzia hatutakaa tuelimike wala kuwa wabunifu.

Umeona jinsi biblia ilivyotafsiriwa na jinsi walivyotokea wachungaji(wabunifu)wengi kila kona? Maendeleo yanataka vurugu za hivyo na si hii elimu ya kukariri tunayoipata kwa lugha tusiyoielewa.
 
Mitaala ya elimu Tanzania ni mfumo na kimkakati zaidi iliyoasisiwa na top level ya watawala wa ccm,ili kwamba wenye uwezo wao wachache wapite lakini kundi kubwa la wanafunzi wafeli warudi mtaani hao ndio mtaji mkuu wa watawala kumtawala mjinga sawa na kumsuma mlevi ,hata waziri wa elimu hawezi kubadilisha hilo, anajua lilikotokea salama yake ni kumpeleka mwanae private kila mtu akomae na mtoto wake,lakini kiujumla wake ni ngumu kuamini mwanafunzi atashindaje mtihani wakati lugha ya kufundishia haijui,wanafunzi wa private sio kwamba wao ndio wana akili sana hapana ila communication skills inawabeba sana.Wakubadilisha hili ni hao hao CCM wakubali kuwa sasa imetosha tubadili mitaala ufaulu utapanda sana.
 
... wote ni mashuhuda jinsi Kiingereza kilivyotugeuza kituko siku zilizopita. Bosi akiongea watu mnainama kwa aibu? Sio tu lugha ila hata kujenga hoja na ushawishi ni zero. Tuondokane na ujinga ule! Haiwezekani bila kuwekeza sana kwenye elimu.

Sijajua siri ya hii kitu; hivi ni kwanini watoto wadogo, mfano wawili, chosen at random, huyu yuko mtaala wa Kiswahili na huyu yuko mtaala wa Kimalkia inakuwaje yule wa Kimalkia ana confidence ya hali juu mno na uwezo wa kujenga hoja na ushawishi kuliko yule wa Kiswahili hata kama lugha watakayokuwa wanatumia ku-argue ni Kiswahili?

Hebu wataalamu wa social sciences and human behavior fanyeni tafiti zenu mlete majibu badala ya kuwaachia wanasiasa laghai wanaojifanya kujua kila kitu wananchi wanachotaka bila hata kuwauliza hao wananchi.
Tafiti zimefanyika miaka na miaka. Lakini kwa sababu ya mentality ya kikoloni tumegoma kutumia kiswahili. Kuna professor mmoja anaitwa Martha Qorro, kafanya sana tafiti kuhusu jambo hili. Tafiti zake zimeonyesha kunafaids kubwa kutumia kiswahili kama lugha ya kufundishia.
 
Hiyo Lugha ya kingereza Inaongeza vitamin zipi kwenye mwili wa binadamu??
Nilipoona tu avatar yako nikajua utakuwa umecoment ujinga. Halafu wewe eti ndio think tank ya ccm. Nchi hii majinga ndio yamejaa sijui tulimkosea nini Mungu.
 
Nilipoona tu avatar yako nikajua utakuwa umecoment ujinga. Halafu wewe eti ndio think tank ya ccm. Nchi hii majinga ndio yamejaa sijui tulimkosea nini Mungu.
Wewe mjanja Kuna jambo Gani la maana umefanya zaidi ya kumpa mimba khumbu??

Inasikitisha sana kuona kijana unajisifia Ngono.

A typical Tanzanian.
 
Wewe mjanja Kuna jambo Gani la maana umefanya zaidi ya kumpa mimba khumbu??

Inasikitisha sana kuona kijana unajisifia Ngono.

A typical Tanzanian.
Maisha yangu na Khumbu ni sehemu ya mapito yangu duniani, hata wewe una chapter yako ya kimahusiano lakini inashangaza kwenye mijadala makini kama hii na wewe unashiriki wakati unajijua uwezo wako wa kufikiri ni mdogo. There is a saying goes like this: "it is better to be thought stupid rather than to open your mouth and remove all the doubts"
 
Maisha yangu na Khumbu ni sehemu ya mapito yangu duniani, hata wewe una chapter yako ya kimahusiano lakini inashangaza kwenye mijadala makini kama hii na wewe unashiriki wakati unajijua uwezo wako wa kufikiri ni mdogo. There is a saying goes like this: "it is better to be thought stupid rather than to open your mouth and remove all the doubts"
You have a very low IQ,

Kuanza tu kusimulia namna unafanya ngono ni kiashiria Cha mtu mwenye uwezo mdogo sana wa kufikiri.

Wenzako wanatengeneza softwares

Wewe unaleta matambo ya kuvua nguo za ndani. ??

Pathetic.

Bora tu urudi ukajifiche ndani ya nguo za ndani za watoto wa kike maana huko ndiko makazi Yako ya kudumu.
 
Mimi nimesema nitavaa hata magunia, lakini mtoto lazima aendelee kusoma shule ya mitalaa ya kiingereza. Hao viongozi wanajifanya wazalendo, lakini watoto wao wakiongea kiingereza wanatabasamu hadi jino la mwisho linaonekana. Nenda huko manyumbani mwao, wao na watoto wao wanaangalia DSTV na sio hizi local za michezo ya kina Mkojani. Halafu wakimaliza shule anayeajiriwa ni anayejua kiingereza fasaha.
Tatizo sasa hivi na tunako endelea kiingereza kwa africa kitakuwa sio ishu tena kwa sababu tunaondokana na utumwa wa kiingereza tunahamia kwenye utumwa wa kichina
 
Tatizo sasa hivi na tunako endelea kiingereza kwa africa kitakuwa sio ishu tena kwa sababu tunaondokana na utumwa wa kiingereza tunahamia kwenye utumwa wa kichina
Lugha ya wachina imefubaa. Nenda China wakiona mtu anayeongea kiingereza wanamkwepa. Ukijua kiingereza unaweza kuishi popote duniani na ukaelewana na watu, jua kichina sasa uone kama utatoboa.
 
You have a very low IQ,

Kuanza tu kusimulia namna unafanya ngono ni kiashiria Cha mtu mwenye uwezo mdogo sana wa kufikiri.

Wenzako wanatengeneza softwares

Wewe unaleta matambo ya kuvua nguo za ndani. ??

Pathetic.

Bora tu urudi ukajifiche ndani ya nguo za ndani za watoto wa kike maana huko ndiko makazi Yako ya kudumu.
Hivi hata darasa la saba ulimaliza kweli wewe? Naanza kujisikia vibaya kukuchallenge. Naanza kuhisi kama namchallenge mtu ambaye actually anahitaji kusaidiwa. Nafananisha na mtu mzima anamshambulia kwa mateke na ngumi mtoto wa miaka 2 ambaye obviously hawezi kujitetea. If this is the case I'm very sorry.
 
Lugha ya wachina imefubaa. Nenda China wakiona mtu anayeongea kiingereza wanamkwepa. Ukijua kiingereza unaweza kuishi popote duniani na ukaelewana na watu, jua kichina sasa uone kama utatoboa.
Ingawa mimi huwa naona ni dhana ile ile tu ya utumwa wa mwafrica dhidi mtu mweupe kuona cha mweupe ni mali zaid kuliko chake , ndio maana mtu anapambana ajue kingereza na sio kiswahili au kichaga , ni utumwa tu.
 
Back
Top Bottom