Ujue kwenye hii dunia Lugha ya mawasiliano Worldwide is English ila sisi Tanzania tunaendekeza sana Kiswahili.
Watu tukienda huko nje tunashindwa vingi coz our English ni poor kabisa mm ningekua Rais ningeamua Kiingereza kitumike kufundishia kuanzia primary mpaka University.
Ujue mimi nilijisikia vibaya sana hadi Wanyarwanda wanatushinda kwenye kuzungumza kiingereza yaani kwenye top ten ya Nchi za Afrika zinazoongea English vizuri na Rwanda wamo.
Serikali Especially wizara ya Elimu waliangalie hili tuanze kutumia kiingereza kuanzia chini na tuhamasishe matumizi ya hii Lugha ujue Tanzania tunaabika sana
Watu tukienda huko nje tunashindwa vingi coz our English ni poor kabisa mm ningekua Rais ningeamua Kiingereza kitumike kufundishia kuanzia primary mpaka University.
Ujue mimi nilijisikia vibaya sana hadi Wanyarwanda wanatushinda kwenye kuzungumza kiingereza yaani kwenye top ten ya Nchi za Afrika zinazoongea English vizuri na Rwanda wamo.
Serikali Especially wizara ya Elimu waliangalie hili tuanze kutumia kiingereza kuanzia chini na tuhamasishe matumizi ya hii Lugha ujue Tanzania tunaabika sana