kulagha nenga
JF-Expert Member
- Jan 1, 2026
- 498
- 1,039
Inawezekana , maana wengi hakuwa wanajua afya yakeAisee! basi Mabinti wengi wamekanyaga waya wenye umeme, maana mzee wa Matalent amewatafuna hasa.
Inawezekana , maana wengi hakuwa wanajua afya yakeAisee! basi Mabinti wengi wamekanyaga waya wenye umeme, maana mzee wa Matalent amewatafuna hasa.
Sio inawezekana... hao jamaa awacheki na chupi...hakuna celebrities wa kike...ambae hajaliwa na Marehemu 😅😅😅 ukitaka story vizuri muulize Pascal Mayalla amefanya nao kazi anawajua vizuriNamfungulia dunia na bosi wake Kwa kipindi hicho ndo walikuwa watawala WA soko la muziki, walikuwa wanauwezo WA kumpandisha huyu na kumshusha yule. Inawezekana mabinti wengi waliliwa ila hawasemi TU
Wote takataka tupu. Mitatoo kwa mswahili wapi na wapi?Nilivyorudi Dar es salaam ndugu zangu wote wa huku walinikataa hivyo nikakosa sehemu ya kulala, nilipata gest flani maeneo ya sinza kwa siku nilikuwa nalipa elfu 5, sasa kumbe ile gest ilikuwa inaangaliana na nyumba ya Diamond Platnumz.
“Sasa nilivyokuwa nakosa hela ya kulipia gest nikawa naenda kulala kwenye kibaraza cha nyumba ya Diamond bila kujua kuwa ni nyumba yake, kuna siku akanikuta akanisamilia. mimi na Diamond tumeanza kujuana mda mrefu sana" amesema hayo msanii ruby
View attachment 3656040
View attachment 3656038
Ukiona Pascal Mayalla kalike comment au post ujue hiyo ishu ni kweli kabisa😀Sio inawezekana... hao jamaa awacheki na chupi...hakuna celebrities wa kike...ambae hajaliwa na Marehemu 😅😅😅 ukitaka story vizuri muulize Pascal Mayalla amefanya nao kazi anawajua vizuri
namfungulia dunia aliona funguo ya Dunia na wanawake anazo yeye tuAlipokataa kutoa tunda Kwa namfungulia dunia nafasi yake ikachukuluwa na yule ambaye baada ya msiba alimrudia x wake
😀😀😀 Swala kajipeleka kwa simba au sioKama alilala kwenye kibaraza cha Mondi hakubaki salama