TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,892
- 11,288
Marehemu nakumbuka alikuwa mmoja ya watu waliokuwa wanajitahidi kuchakachua matokeo ya uchaguzi kilimanjaro.
Mungu amrehemu na amsamehe makosa yake aliyotenda huku duniani.
RIP kamanda.... nasikitika kamanda ameingizwa kwenye siasa na kutia doa maisha
kweli dunia mapito na watu wanaweza kukukumbuka kwa jambo lolote lile