Masanyaraz
Member
- Jun 10, 2011
- 41
- 1
Pole familia ya kamamda NGOBOKO
Nadhani ni presha,, alipata uhamisho kwenda Makao Makuu ya Polisi na nafasi yake pale inachukuliwa na SACP Absalom Mwakyomaa aliyekuwa rpc Pwani. Mapolisi wengi hawapendi kufanyia kazi makao yao makuu pale, wanapaona kama kijiweni infact ni kijiweni kwa mapolisi hawa corrupt maana pale hupati muda wa kukutana na raia ni mafile tu, sasa na marupurupu wanayopata mikoani huko basi taabu wakiambiwa wanakwenda makao makuu. R.I.P kamanda Lucas Lifan Ng'hoboko
huyu alikuwa RPC wa Mkoa wa Kilimanjaro...kabla ya kufariki leo asubuhi tayari alikuwa amekwisha staafu Utumishi wa Umma.Pole Ndugu jamaa na Marafiki
Oh, what might be the cause of the death?
acha zako wewe,hakuna m2 anayefurahia kifo cha mwenzio..
Watu kibao wangefurahi baba yako ndiye angekufa, sijui kama unalijua hilo. Furahi sasa.Mimi nitafurahi kifo cha Andengenye
Labdha una sababu za kipekee zinazokufanya uonekane wa kipekee katika hilo..tujuze basi ili tukuhukumu kwa hakiMimi nitafurahi kifo cha Andengenye
Huo ndo Mkoa gani Tanzania au mie ndo mshamba wa TZ siku hizi
Mwenyezi mungu atuepushe na hili janga la washabiki wa chama hiki amina.Marehemu nakumbuka alikuwa mmoja ya watu waliokuwa wanajitahidi kuchakachua matokeo ya uchaguzi kilimanjaro.Mungu amrehemu na amsamehe makosa yake aliyotenda huku duniani.
Mwenyezi mungu atuepushe na hili janga la washabiki wa chama hiki amina.
Sawa mimi nimekwisha muomba mungu aiepushe nchi hii na hili lichama maana kwao vifo ni shere.Malipo ni hapa hapa malaria, ajali ni sababu tu