kweli kabisa. Maana kwa fikra za kawaida hii nchi inavyokwenda ni kama haina mwenyewe. Leo linaamuliwa jambo na kutangazwa, kesho linafutwa na mbaya zaidi anaepaswa kutoa kauli hata hajui kinachoendelea. Ni kama vile na yeye anagundua mambo mengi baada ya kutangazwa. Ni wazi hayupo sehemu ya maamuzi aidha kwa kuogopa majukumu ama kwa kusudio la waliomuweka
Mahaba kwa dikteta wa kwanza wa kike?Yeye naye anamahaba naona hapa bavicha wanachezeshwa social political
USSR
Mtaelewa tu, mtake msitake. Anachonifurahisha huyu mama ni huu mwendo wake mdogo mdogo na kimya kimya.....kama haoni au hataki vileeee kumbe anaupiga mwingi hatari. Kabla ya kuzungumza kidhihaka kuhusu hiyo filamu, yapaswa kuielewa kwanza; hii si filamu ya kina wema sepetu ya kuonyesha uzuri na uzungu!Shida za wananchi zimeisha maza yupo busy na filamu
Tukio liko mubashara ITV
Rais Samia akiwa na mbunge wa Kawe wanahutubia wananchi wa jimbo la Kawe eneo la Tegeta manispaa ya Kinondoni.
Kwa sasa askofu Gwajima amepanda kwenye gari ya Ikulu na anatoa salamu za shukrani kwa Rais Samia kwa niaba ya wananchi.
Gwajima anasema wananchi wa Kawe siyo tu Wanampenda mama Samia bali wana mahaba naye.
Helicopter za polisi zinavinjari juu ya anga kuulinda mkutano huu mtakatifu.
Rais Samia amewataka wananchi waendelee kulipa kodi kwani kodi ni kwa maendeleo ya taifa.
Rais Samia amesema anaelekea Bagamoyo katika mtiririko wa uchukuaji picha ya filamu ya vivutio vya utalii wa Tanzania itakayozinduliwa nchini Marekani na kuonyeshwa dunia nzima.
Karibu
========
Katika ziara hiyo Rais Samia pia amekutana na Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima, ambapo Rais ameuhoji umma: “Tunachanja, hatuchanji?” Huku wananchi wakijibu “Tunachanja!”
Askofu Gwajima pia ameshukuru kwa kupata Bilioni 8 kwa ajili ya kurekebisha mitaro ya Kata ya Mbweni ili kudhibiti mafuriko kipindi cha mvua.
“Jambo lingine, ulitupa kila jimbo milioni 500 kwa ajili ya barabara lakini kwenye Jimbo la Kawe ukatupa bilioni 14, ambazo tunatengeneza barabara 115 za jimbo la Kawe za naani kwa mkono wa TARURA.”,
“Shida ya maji iliyokuwepo Nakasangwe, iliyokuwepo Kisanga, tayari matenki yameshajengwa katika maeneo mbalimbali na sasa kuanzia mwezi wa 10 tarehe 15 mradi wa maji yanayotokea Ruvu Chini utakuwa umeshafika Kawe.”
Naona umeanza uongo. Kifungu gani cha Katiba hiyo kinachosema hivyo?Mshahara kama anaolipwa mbunge!
Matusi ni dalili za kupoteza uvumilivu wa kisiasa!Matusi ya nini mkuu
Waulize Dr Slaa na Dr Mashinji.Naona umeanza uongo. Kifungu gani cha Katiba hiyo kinachosema hivyo?
Amandla...
Wanaeleweka isipokuwa hawaaminiki!Wanasiasa kuwaelewa saa zingine sijui zinahitajika akili zipi, hata sijui...!!
Kuna baadhi ya mambo yanafikirisha sana awamu hii. Sasa kama Raisi anazunguka kupiga picha za utalii, Waziri wa maliasili anafanya nini?
Hili linadhihirisha kuwa kuna driving force nyuma ya tunaemuona raisi, kwa maana ana Job Description katengenezewa na kuna anao report kwao na kumwambia cha kufanya. In other words yeye ni sura tu ya uraisi.
Sikuwahi mpenda Magufuli mpaka anakufa ila Magufuli alikuwa shujaa katika kusimama na maamuzi na kujua hasa nguvu yake kama raisi. Mpaka 2025 ambapo nina hakika ndio ukomo wa mtangaza utalii, tutaona mengi sana
Mwana CCM mwenzako anatukanaMatusi ni dalili za kupoteza uvumilivu wa kisiasa!
Shirikiana naye sasaMtaelewa tu, mtake msitake. Anachonifurahisha huyu mama ni huu mwendo wake mdogo mdogo na kimya kimya.....kama haoni au hataki vileeee kumbe anaupiga mwingi hatari. Kabla ya kuzungumza kidhihaka kuhusu hiyo filamu, yapaswa kuielewa kwanza; hii si filamu ya kina wema sepetu ya kuonyesha uzuri na uzungu!
Naona Mama kaamua kuwa Movie Star. Sijui nani kamdanganya kuwa yeye akiwa staring ndiyo movie itauzika..... Angewaachia akina Diamond na maMiss...!!Chondechonde wasije kutuletea video nyingine kama ile ya Yanga ili kutusahaulisha mambo muhimu ya kitaifa
Hao si wako kwenu? Na kama imeandikwa kwenya Katiba kuna haja gani ya kuwauliza wakati unaweza kutaja tu kifungu kinacho husika?Waulize Dr Slaa na Dr Mashinji.
Labda kama huyo J J Mnyika mnamdhulumu!
Kama yule Kingu ndio bure kabisa!