Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,598
- 215,321
Hata Beyoncé angetangaza Tanzania kwa tweet tu watu wengi wangepata ujumbe kuliko Samia anavyorusha kipindi. Zaidi ya Tanzania huko duniani ni wangapi wana fahamu Chifu Hangaya?Hii kazi wangemlipa Star mmoja wa NBA.
Lakini kumpeleka Rais mbele ni makosa maana sijawahi kumuona mwanasiasa akifanya branding ya bidhaa au huduma yeyote ikafanikiwa.
Marekani ni Basketball, na wakiwahitaji hao lazima watumia timu au Stars wa NBA i.e Lebron James.