Royal Tour: Faida ya Rais Samia kurekodi kipindi kutangaza utalii kimataifa

the horse

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
652
441
Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameanza kurekodi kipindi maarufu cha 'The Royal Tour' kwa lengo la kuitangaza Tanzania kwenye Sekta ya Utalii, Biashara na Uwekezaji Kimataifa.

Faida ya Mhe. Rais kurekodi Kipindi cha 'The Royal Tour'

●Kipindi kitarushwa kwenye Mabara na Nchi Kubwa kama Marekani, Ulaya, Asia na Afrika hivyo Tanzania itapata Watalii wengi kutoka maeneo hayo.

● Taasisi nyingi za Masuala ya Utalii na Uwekezaji za Kimataifa zenye wafuasi wengi watapata kuijua vizuri Tanzania na dira ya kiongozi Mkuu wa Nchi kwenye masuala ya biashara na uwekezaji.

● Itatambulisha Utamaduni na Mila za Makabila yaliyopo Tanzania.

● Kipindi hicho kitakua kikirushwa kwenye Ndege za Kimataifa ambazo husafirisha abiria Duniani kote.

● Viongozi mbalimbali walishawahi kurekodi kipindi cha 'The Royal Tour' akiwemo Rais Paul Kagame, Waziri Mkuu wa New Zealand Hellen Clark, Rais wa Mexico Felipe Calderon na Rais Samia ni sehemu ya viongozi hao.

Bwanku M Bwanku
 
Mtu akisema Tanzania sio Maarufu nashindwa kumuelewa, umaarufu ambao Tanzania haina ni upi?

Tanzania imewahi kuwa host Bill Clinton mara 2 yeye na mke wake, Obama, Bush, Xhu Ji Ntao wa china na wengine wengi, bado Tqnzania sio maarufu?

Mbuga ya Serengeti ni maarufu kuliko mtanzania yoyote bado mnataka kuitangaza ijulikane?

Shida kwenye utalii wetu sio umaarufu wa Tanzania bali ni management, kodi kubwa, sera zisizoeleweka, ukiritimba na mambo kama hayo. Tubadili huko kwanza.
 
Mtu akisema Tanzania sio Maarufu nashindwa kumuelewa, umaarufu ambao Tanzania haina ni upi?

Tanzania imewahi kuwa host Bill Clinton mara 2 yeye na mke wake, Obama, Bush, Xhu Ji Ntao wa china na wengine wengi, bado Tqnzania sio maarufu?

Mbuga ya Serengeti ni maarufu kuliko mtanzania yoyote bado mnataka kuitangaza ijulikane?

Shida kwenye utalii wetu sio umaarufu wa Tanzania bali ni management, kodi kubwa, sera zisizoeleweka, ukiritimba na mambo kama hayo. Tubadili huko kwanza.
Uko sahihi kabisa ndugu yangu. Big up to you.
 
Mtu akisema Tanzania sio Maarufu nashindwa kumuelewa, umaarufu ambao Tanzania haina ni upi?

Tanzania imewahi kuwa host Bill Clinton mara 2 yeye na mke wake, Obama, Bush, Xhu Ji Ntao wa china na wengine wengi, bado Tqnzania sio maarufu?

Mbuga ya Serengeti ni maarufu kuliko mtanzania yoyote bado mnataka kuitangaza ijulikane?

Shida kwenye utalii wetu sio umaarufu wa Tanzania bali ni management, kodi kubwa, sera zisizoeleweka, ukiritimba na mambo kama hayo. Tubadili huko kwanza.
Umemsahau na Papa Yohane II
 
Mtu akisema Tanzania sio Maarufu nashindwa kumuelewa, umaarufu ambao Tanzania haina ni upi?

Tanzania imewahi kuwa host Bill Clinton mara 2 yeye na mke wake, Obama, Bush, Xhu Ji Ntao wa china na wengine wengi, bado Tqnzania sio maarufu?

Mbuga ya Serengeti ni maarufu kuliko mtanzania yoyote bado mnataka kuitangaza ijulikane?

Shida kwenye utalii wetu sio umaarufu wa Tanzania bali ni management, kodi kubwa, sera zisizoeleweka, ukiritimba na mambo kama hayo. Tubadili huko kwanza.
kwaiyo kama imeshakua maarufu ulitaka wakae tu wasubiri watalii?
 
Huu mkakati wa kimasoko sioni kama utafika mbali,bado pale TTB panahitaji watu wenye maono ya kibiashara haswa..

Tuwekeze kwenye majukwaa ya maana,tuwepo NBA,EPL,American Football,UEFA,F1,Tennis,Golf hapo tutatoboa..
 
Kiukweli kodi na management ya utalii Tanzania ndio tatizo kubwa. Kuna kodi ambazo tukiziondoa tutapokea wageni wengi hata kufidia kodi husika.

Pili watoa huduma na huduma kwa ujumla ni hafifu sana. Yaani kuna haja ya kuwekeza nguvu na rasimali kuboresha huduma, hasa customer care maana aisee hapa kuna shida sana ....tunatanguliza maslahi kwanza kuliko kutoa huduma nzuri yenye kufanana na thamani ya pesa aliyotoa mteja
 
Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameanza kurekodi kipindi maarufu cha 'The Royal Tour' kwa lengo la kuitangaza Tanzania kwenye Sekta ya Utalii, Biashara na Uwekezaji Kimataifa.

Faida ya Mhe. Rais kurekodi Kipindi cha 'The Royal Tour'

●Kipindi kitarushwa kwenye Mabara na Nchi Kubwa kama Marekani, Ulaya, Asia na Afrika hivyo Tanzania itapata Watalii wengi kutoka maeneo hayo.

● Taasisi nyingi za Masuala ya Utalii na Uwekezaji za Kimataifa zenye wafuasi wengi watapata kuijua vizuri Tanzania na dira ya kiongozi Mkuu wa Nchi kwenye masuala ya biashara na uwekezaji.

● Itatambulisha Utamaduni na Mila za Makabila yaliyopo Tanzania.

● Kipindi hicho kitakua kikirushwa kwenye Ndege za Kimataifa ambazo husafirisha abiria Duniani kote.

● Viongozi mbalimbali walishawahi kurekodi kipindi cha 'The Royal Tour' akiwemo Rais Paul Kagame, Waziri Mkuu wa New Zealand Hellen Clark, Rais wa Mexico Felipe Calderon na Rais Samia ni sehemu ya viongozi hao.

Bwanku M Bwanku
Wastage and misuse of resources; what are the ministry of tourism and foreign affairs doing? The turnup is predicted to drastically drop unless if the adventure will be explored through internet surfing.
 
Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameanza kurekodi kipindi maarufu cha 'The Royal Tour' kwa lengo la kuitangaza Tanzania kwenye Sekta ya Utalii, Biashara na Uwekezaji Kimataifa.

Faida ya Mhe. Rais kurekodi Kipindi cha 'The Royal Tour'

●Kipindi kitarushwa kwenye Mabara na Nchi Kubwa kama Marekani, Ulaya, Asia na Afrika hivyo Tanzania itapata Watalii wengi kutoka maeneo hayo.

● Taasisi nyingi za Masuala ya Utalii na Uwekezaji za Kimataifa zenye wafuasi wengi watapata kuijua vizuri Tanzania na dira ya kiongozi Mkuu wa Nchi kwenye masuala ya biashara na uwekezaji.

● Itatambulisha Utamaduni na Mila za Makabila yaliyopo Tanzania.

● Kipindi hicho kitakua kikirushwa kwenye Ndege za Kimataifa ambazo husafirisha abiria Duniani kote.

● Viongozi mbalimbali walishawahi kurekodi kipindi cha 'The Royal Tour' akiwemo Rais Paul Kagame, Waziri Mkuu wa New Zealand Hellen Clark, Rais wa Mexico Felipe Calderon na Rais Samia ni sehemu ya viongozi hao.

Bwanku M Bwanku
Ndo mmeanza kurekodi leo?
 
Wastage and misuse of resources; what are the ministry of tourism and foreign affairs doing? The turnup is predicted to drastically drop unless if the adventure will be explored through internet surfing.
Mkuu wasamehe ndo mwisho wa kufikiri kama treni ni Kigoma
 
●Kipindi kitarushwa kwenye Mabara na Nchi Kubwa kama Marekani, Ulaya, Asia na Afrika hivyo Tanzania itapata Watalii wengi kutoka maeneo hayo.
kwa nini tusilipie leseni ya TBC kurusha matangazo ya New York, London, Moscow, Tehran, Berlin, Amsterdam, Tokyo, Seol, Beijing na kwingineko? Hii itarahisisha ufikaji wa kwa wateja wetu wa utalii na kadhalika kwa ukaribu. Pia itawezesha kuondoa uongo wa TV za baadhi ya nchi za miji hiyo unezwao juu yetu.

Mnalionaje hili?
 
napongeza saana kwa hili jambo.utalii ulipaswa utupe matrilion ya shilings,kwa kuanzia utalii wa fukwe,historia,mila natamaduni mkazo,mkazo zaidi ukiwekwa katika haya tutapiga pesa ndefu.kuanzia bagamoyo mbegani mpaka buyuni kigambon ni beach finest kabisa kwa kila aina ya utalii na visiwa vyake.
 
Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameanza kurekodi kipindi maarufu cha 'The Royal Tour' kwa lengo la kuitangaza Tanzania kwenye Sekta ya Utalii, Biashara na Uwekezaji Kimataifa.

Faida ya Mhe. Rais kurekodi Kipindi cha 'The Royal Tour'

●Kipindi kitarushwa kwenye Mabara na Nchi Kubwa kama Marekani, Ulaya, Asia na Afrika hivyo Tanzania itapata Watalii wengi kutoka maeneo hayo.

● Taasisi nyingi za Masuala ya Utalii na Uwekezaji za Kimataifa zenye wafuasi wengi watapata kuijua vizuri Tanzania na dira ya kiongozi Mkuu wa Nchi kwenye masuala ya biashara na uwekezaji.

● Itatambulisha Utamaduni na Mila za Makabila yaliyopo Tanzania.

● Kipindi hicho kitakua kikirushwa kwenye Ndege za Kimataifa ambazo husafirisha abiria Duniani kote.

● Viongozi mbalimbali walishawahi kurekodi kipindi cha 'The Royal Tour' akiwemo Rais Paul Kagame, Waziri Mkuu wa New Zealand Hellen Clark, Rais wa Mexico Felipe Calderon na Rais Samia ni sehemu ya viongozi hao.

Bwanku M Bwanku
Nimetoa mchango wangu wa mabandiko mawili kuhusu uzinduzi wa filamu ya Royal Tour.
Bandiko la kwanza ni hili

Na bandiko la pili ni hili

Nautakia uzinduzi mwema wa Royal Tour siku ya Jumatatu ya Pasaka.
Paskali
 
Huu mkakati wa kimasoko sioni kama utafika mbali,bado pale TTB panahitaji watu wenye maono ya kibiashara haswa..

Tuwekeze kwenye majukwaa ya maana,tuwepo NBA,EPL,American Football,UEFA,F1,Tennis,Golf hapo tutatoboa..
Hii kazi wangemlipa Star mmoja wa NBA.

Lakini kumpeleka Rais mbele ni makosa maana sijawahi kumuona mwanasiasa akifanya branding ya bidhaa au huduma yeyote ikafanikiwa.

Marekani ni Basketball, na wakiwahitaji hao lazima watumia timu au Stars wa NBA i.e Lebron James.
 
Back
Top Bottom