Phobia
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,151
- 1,784
Anakupiga miti?Sasa Taifa gesi wanakwenda kuwa provider wa energy kwa kila mtanzania masikini na Tajiri. Ila tuwe positive jamani Rostam ni mwamba yeye anafit kwa kila Rais...
Anakupiga miti?Sasa Taifa gesi wanakwenda kuwa provider wa energy kwa kila mtanzania masikini na Tajiri. Ila tuwe positive jamani Rostam ni mwamba yeye anafit kwa kila Rais...
Ni mwamba kwelikweli mzee wa dowans/richmond...bado hatujasahau. watoto kama wewe ndiyo hamjui hiliSasa Taifa gesi wanakwenda kuwa provider wa energy kwa kila mtanzania masikini na Tajiri. Ila tuwe positive jamani Rostam ni mwamba yeye anafit kwa kila Rais...
🤣🤣🤣Anakupiga miti?
Mimi sipendi kuandika maneno mengi .
Jamaa hatumii emotions kwenye biashara.Sasa Taifa gesi wanakwenda kuwa provider wa energy kwa kila mtanzania masikini na Tajiri. Ila tuwe positive jamani Rostam ni mwamba yeye anafit kwa kila Rais...
Rostam sio fisadi kwao Mwisi mbele ya Nkinga.Rostam sio fisadi
Lobbying, ni jambo la kawaida na katiba yetu mpya liwekwe wazi ila sio apendelewe kuliko Lake Gas na wengineo.
Yeye ni Mfanyabuashara anaangalia profit sisi Wananchi nao tunaangalia affordabilty.
Hii gas inayozungumziwa hapa ni ya majumbani ya kupikia?
Mimi huku Runzewe plan yangu ni kuvuna hii hii methane iliyoko chooni kwa kupikia.Msianze kulialia tu maana Taifa Gas alijipanga mapema kila wilaya anakituo
Ninachojua mimi serikali sio wajinga hawawezi kuifanya Taifa Gas kuwa sole distributor wa gas nchi nzima.Anaewahi ndio hupata, deal hizo haziji kwa bahati mbaya watu wameandika wamelobby zimefiki na fursa waliiona wakaona gap lipo sasa unataka iweje zaidi?...
Mpaka lini?Safari ya USA alikuwepo, Ya Kenya alikuwepo
, Oman pia.
He is almost every where .ana nguvu sana awamu hii.
Kila anachotaka kinafanyika with no compromise.
Hilo haliwezekani hawezi akapewa u-monopoly hilo haliwezekani.Ndio mfano wa hizi
View attachment 2403812
View attachment 2403813
View attachment 2403814
Ni mfano kama huo hapo
Ana mapepe Kama sakhoInawezekana ila ana mapepe sana. Anakuwa kama wale waandishi wa habari wanaotaka wawe wa kwanza kuripoti kabla ya wengine. Mwisho wa siku habari zinakuwa hazijitoshelezi
🤣🤣🤣Ana mapepe Kama sakho
Alishindwa tu kumfanya Lowassa awe presidaa wa Bongo
Tunakoelekea atakuwa na maamuzi ya nani awe Rais nchi hii na nani asiwe.
Tusikubali awe na Monopoly kwenye gas, na pia tusikubali hawa Matajiri waungane dhidi yetu, kama Makampuni haya ya Simu za mikononi yanayotutesa na bei za Bando.
Soko la Nishati liwe huria ili tuwe tunachagua ya bei nafuu.