Rostam ni Mfalme na mwamba hapa Tanzania

Ndo tujifunze kwao.Rostam kafanyaje mpaka kushawishi serikali nzima?
Hakuna maajabu anayofanya zaidi ya rushwa kwa viongozi!
Naam, sasa ni enzi za viongozi kuwekwa mfukoni na matajiri!.
Si unamuona Waziri kawa wakala wa Taifa gesi.
 
Safari ya USA alikuwepo, Ya Kenya alikuwepo
, Oman pia.

He is almost every where .ana nguvu sana awamu hii.

Kila anachotaka kinafanyika with no compromise.
Hata kuliko Bashite na njeree mwenzako Sabaya
 
Anaewahi ndio hupata, deal hizo haziji kwa bahati mbaya watu wameandika wamelobby zimefiki na fursa waliiona wakaona gap lipo sasa unataka iweje zaidi?

Msianze kulialia tu maana Taifa Gas alijipanga mapema kila wilaya anakituo cha kujazia Gas sasa aliplan muda mrefu afike vijijini na kweli kafika wale uliokua ukisafiri unaona depot za mihan gas na sasa zimebadilishwa zinaitwa Taifa Gas ndio hao hao, cha kufanya serikali imuondolee kodi na imuwezeshe kusambaza nchi nzima na zimamoto kila mkoa na wilaya wajipange kuwaelekeza watanzania jinsi ya kutumia kwa ufasaha Gas ili isilete shida, ili hata Bibi yetu wa kule kigonsera au hanga mwanasteri au mputa au kwenda na kaisho au nyambiti au dareda atumie nishati salama kwa ufasaha na kuokoa muda wake
Dah basi na Bibi zangu wakambo dongobeshi, Mbauda na Nyarugusu watafaiduka sana.
 
Acha wivu. Rostam sio fisadi. Anapata michongo kihalali kabisa. Tutumie akili zetu kuandika project plan na umuhimu wake ili tupate fursa. Matatizo ya watu ndo fursa. Sasa Rostam kaja na nishati safi ili bibi zangu kule Mwajilyambiti wasikatwe mapanga tena. Maana wataondokana na kupuliza moto wa kuni.
Uandishi wako km nimeanza kuuelewa hivi..umekaa kipascal Pascal...ile tabia ya kupenda kueleza kitu kinyume na ukweli..
 
Kiuhalisia Eddo alipata kura nyingi kumshinda magufuli huo ndio ukweli na magufuli anajua uhalisia ndio maana hadi dakika ya mwisho ikabidi awe humble kwa eddo, na Rostam ndio akamrudisha Eddo kundini au umesahau?
Unapaswa kupimwa km hujatumia kilevi ulipokuwa unacomment
 
Back
Top Bottom