Rostam naye sasa rasmi CHADEMA

Rostam naye sasa rasmi CHADEMA

CCM out.., nasikia raaaaaaaaaaaaaaaaaaaha. Tunachotaka ni mfumo wa CCM out kwanza mambo mengine baadae
 
lowassa hana lolote,atapigwa mbali sana pamoja na wakaskazini wake
 
ndug wananchi tusiwe na wasiwasi baada ya miaka mitano wakizingua tutawapa miaka mingine mitano maana hata wengine wamekaa zaidi ya umri wa baba zetu na mama zetu wengine hapa so tusiogope aman tu
 
Asije Rostram tu alete na mikoba yao ya fedha. Tunachotaka ni kila mtu aipigie kura ya ndio UKAWA tumng'oe huyu mkoloni mweusi, aliyejisahau na kutenda kuwa dharau mpaka akafa macho, Mjue huyu mkoloni alijisahau, viongozi wakafikia mahali pa kusema ati wananchi; They can go to hell, Wengine wakasema wananchi; Wale nyasi ili ndege inunuliwe, Wengine wakasema ati; Kama huna mia 2 upige mbizi baharini uogelee uvuke Kigamboni.
Nasema huku ni kupofuka kwa viongozi baada ya kutawala kwa mda mrefu. Dharau ndio hushika hatam na hofu ya Mungu huondoka. Acha tuyaondoe haya maccm kwanza, kwa njia yeyote ile.
 
Kwa lowasa wala ukawa hawahitajik kutumia nguvu kubwa.kwasababu kura nyingi zipo ccm.wana ccm ndo watampeleka ikulu
 
CosaNostra

Sisi tunachojali ni kulitoa dudumizi ccm kwanza alafu mengine baadaye,hivi nyoka akiingia nyumbani kwako kitu cha kwanza ni kumuua alafu baada ya purukushani ya kuua nyoka akili ikitulia ndiyo unarudi kupanga vitu vilivyovurugika
 
Last edited by a moderator:
huwa nasikia raha sana ninapo ona/soma thread za kutia huruma toka kwa mabuku 7.
 
Nafikiri tunachohitaji sasa hivi Watanzania ni mabadiliko tuu. Tukishapata akili ya kufanya mabadiliko, yeyote atakae tuzingua, baada ya five years tunapiga chini na kuweka mwingine, thats all we want now.

Hii inaitwa starting point...! Hata mbuyu ulianza kama mchicha
 
Back
Top Bottom