safaree13
Senior Member
- Jul 22, 2013
- 132
- 20
CosaNostra acha Ufala hamna ufisadi pasipo na mfumo huo tumia akili
Last edited by a moderator:
mleta mada we ni mjinga sana..kama lowassa ni fisadi nenda mahakamani siyo humu....
Safi sana na baadaye ndo tunaanza kukagua wapi pana matundu kwenye nyumba na kama aliingiaje mlangobuliokaribu ni nani aliuchawa mlango buliokaribu waziSisi tunachojali ni kulitoa dudumizi ccm kwanza alafu mengine baadaye,hivi nyoka akiingia nyumbani kwako kitu cha kwanza ni kumuua alafu baada ya purukushani ya kuua nyoka akili ikitulia ndiyo unarudi kupanga vitu vilivyovurugika
Hicho kichaa chako kitapona tu,na hiyo ni baada ya october, maana unajifanya huoni ingawa macho unayo pia kaa ukijua kuwa panapo fuka moshi ujue chini kuna moto,ccm kwa sasa zimebakia bendera tu