KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
Kitila,
Ahsante kwa kutuwekea kumbukumbu tena. Hatimae, hata wasiopenda kuamini kuwa mfalme yuko uchi watauona ukweli ulivyo. Tunabaki kuzunguka zunguka tu mbuyu kama wendawazimu, sijui kwa nini!
Kalamu aliyejiuzuru alikuwa waziri Mkuu LOwassa. Ambaye kama sikosei ni wa tatu kutoka juu. na Makamu wetu ameisha tajwa kuwa kati ya watu watakaouona ufalme ni pamoja na yeye sasa amebakia nani huyo?
Tunaweza kumuomba ang'atuke maana maisha bora kwa mtanzania sasa yanakuwa ndotto kwa sababu yake.