Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Wakuu Rostam hakuwahi kuwa mweka hazina wa CCM taifa kabla ya JK kuwa rais. Rostam hakuwa mjumbe wa CC kabla ya JK kuwa rais. Kipindi cha kutafuta mgombea wa CCM na baadae Urais wa nchi, mweka hazina wa CCM taifa alikua marehemu Salome Mbatia.

Katika kikao maalum cha CCM ambapo mkapa aliamua kung'atuka uenyekiti wa chama kabla ya wakati(nafikiri ilikua february 2006) na kumkabidhi chama JK, JK aliunda sekretariate yake mpya kwa kumteua makamba(KK), rostam(treasurer), Migiro(mambo ya nje ccm),jaka mwambi (naibu KK), na sikubuki nani uenezi. Kipindi hiki Rostam alishachota za Kagoda. Rostam alikuja kutemwa utreasurer baada ya JK kuunda sekretariate mpya baada ya uchaguzi mkuu wa chama 2007. Na kipindi hiki ndio kuna vikampuni vingi sana vilichota za rejareja (between 2-4billion per cycle) EPA. Ukaguzi wa EPA ungepanuliwa kidogo watu wangeshikwa na butwaa. Na kipindi hikihiki huyu jamaa ndio alikua hakauki Hazina kwa mama Meghji, mpaka maafisa wakampa code ya waziri kivuli wa fedha. Kina Lukaza na Maranda wote wamepewa michongo ya kuchota EPA na huyu bwana. Yeye kama kawaida, kazi yake ni kupush ubadhirifu bila jina lake kuonekana kwenye makampuni yaliyochota.
 
Last edited:
Wakuu Rostam hakuwahi kuwa mweka hazina wa CCM taifa kabla ya JK kuwa rais. Rostam hakuwa mjumbe wa CC kabla ya JK kuwa rais. Kipindi cha kutafuta mgombea wa CCM na baadae Urais wa nchi, mweka hazina wa CCM taifa alikua marehemu Salome Mbatia.

Katika kikao maalum cha CCM ambapo mkapa aliamua kung'atuka uenyekiti wa chama kabla ya wakati(nafikiri ilikua february 2006) na kumkabidhi chama JK, JK aliunda sekretariate yake mpya kwa kumteua makamba(KK), rostam(treasurer), Migiro(mambo ya nje ccm),jaka mwambi (naibu KK), na sikubuki nani uenezi. Kipindi hiki Rostam alishachota za Kagoda. Rostam alikuja kutemwa utreasurer baada ya JK kuunda sekretariate mpya baada ya uchaguzi mkuu wa chama 2007. Na kipindi hiki ndio kuna vikampuni vingi sana vilichota za rejareja (between 2-4billion per cycle) EPA. Ukaguzi wa EPA ungepanuliwa kidogo watu wangeshikwa na butwaa. Na kipindi hikihiki huyu jamaa ndio alikua hakauki Hazina kwa mama Meghji, mpaka maafisa wakampa code ya waziri kivuli wa fedha. Kina Lukaza na Maranda wote wamepewa michongo ya kuchota EPA na huyu bwana. Yeye kama kawaida, kazi yake ni kupush ubadhirifu bila jina lake kuonekana kwenye makampuni yaliyochota.

Hii issue naikumbuka mkuu hadi watu wakazushia rostam kamwoa meghji coz alikuwa hakosi ofisini kwa huyu mama!! Jakaya Mrisho Kikwete Ulaaniwe uongozi hautafutwi kwa namna hii ngoja utoke madarakani 2015 ...it wont be the same generation in power..hatukuachii wewe..wewe ndo utakuwa raisi wa kwanza tanzania kuona mahakama!!
 
Uuwiano maalum,

Mkuu napotosha kipi tena?..

Mimi nimesoma mahala wakisema kwamba Rostam alikuwa mweka hazina wa chama baada ya Marehemu, sehemu nyingine inasema pindi Kikwete alipoibadilisha sektretariet yake...Nikashangaa kwani nimewahi kusoma ktk site ya CCM kwa mara ya kwanza kumjua Rostam ni nani ndani ya chama hicho wakati Mkapa akiwa kiongozi na hekaheka za uchaguzi ndani ya chama zimeanza na tukizungumzia Boyz to Men....Kumbukumbu yangu haiwezi kuwa imepotea kiasi hicho..

Ndio maana nimesema sielewi ni lini Rostam aliondoka na kurudi tena iwe baada ya marehemu Mbatia au wakati Kikwete alipobadilisha sektretarieti ya chama..Na kama Mbatia alikuja kuwa mweka hazina nadhani hakushika nafasi hiyo kwa miaka miwili kama sio mwaka tu. Je, nani alikuwa mweka hazina wa chama CCM kabla yake?..nachopinga mimi ni hizi taarifa zinazomfanya Rostam kuwa mweka hazina wa CCM wakati wa Kikwete tu.. sii kweli alikuwa kabla ya hapo!..

Kwa sababu wakati fedha za EPA zinatoka Rostam alikuwa mweka hazina wa chama na nakumbuka mimi kuzungumzia hilo ktk malumbano ya utawala wa Mkapa na uongozi wake as one of my strong evidence za Ufisadi wa Mkapa...licha ya hapo kabla marehemu hajafariki aligusia kutohusika na wizi wa EPA..Iweje marehemu aseme hakuhusika wakati yeye ndiye alikuwa mweka hazina wa chama, jambo ambalo Rostam leo pia anadai yeye hakuwa mweka hazina wa chama isipokuwa marehemu..maneno haya anayasema baada ya kifo cha marehemu lakini nakumbuka nyuma kabla ya kifo cha Bi. Mbatia aliwahi kukubali...Huoni kama hapa tunapigwa bao mkuu wangu..
 
Mkuu Mkandara,

CCM national treasurer ni mjumbe wa CC. Rostam hakuwahi kuwa mjumbe wa CC wakati wa Mkapa. Kwenye hivi vikao vya CC kuelekea uchaguzi mkuu wapambanaji wa JK pamoja na mwenyewe, walikua Emmanuel Nchimbi, Mama Meghji na Mzee Ngombale.

Aliyekuwa treasurer CCM taifa 1997-2002 alikua Abdallah kigoda, na baada ya mkutano mkuu wa CCM 2002, treasurer CCM taifa alikua marehemu Salome Mbatia, mpaka baada ya uchaguzi mkuu wa 2005, ambapo sekretariat yao nzima iling'atuka na Mkapa kwenye mkutano maalum 2006 wa kumpa JK chama kabla ya wakati.

Rostam alikua mweka hazina wa mtandao, na kulikua kuna issue za uratibu wa campaign ya urais kwa mgombea wa CCM JK kuratibiwa na ofisi mbili na Mangula alilalamika kuwa sidelined, ofisi moja rasmi, na nyingine sio rasmi under Rostam. During this time kumbuka hawa jamaa walisha assume power hata kabla mtu wao hajaapishwa. Na ndipo Kagoda ilipofanya vitu vyake BoT. Balali na hata Kitilya wa TRA wanajua mikwala ya huyu bwana kuelekea uchaguzi mkuu 2005. Maana ilikua ni either unacooperate au you will payback come JK akishaapishwa 2005.
 
RM is about to make a big mistake yeye na kundi lake .... yeye ni nani asifanye makosa kwenye mchezo.... and will get what he diserve!!!!!!!!!!
 
Probably somebody has lost the battle with this strategy of buying influential media group called Habari Corporation back then.
 
Hii issue naikumbuka mkuu hadi watu wakazushia rostam kamwoa meghji coz alikuwa hakosi ofisini kwa huyu mama!! Jakaya Mrisho Kikwete Ulaaniwe uongozi hautafutwi kwa namna hii ngoja utoke madarakani 2015 ...it wont be the same generation in power..hatukuachii wewe..wewe ndo utakuwa raisi wa kwanza tanzania kuona mahakama!!
jamaa bado yupo!
 
Back
Top Bottom