msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,142
Lowassa kwa sasa anayefaa kuwa rais wa Tanzania kutokana nakuwa na maamuzi ya kuweza kuitoa Tanzania hapa ilipo na ikasonga mbelekimaendeleo.
Akiweza kutoa fikra zake pale zilipokwama nndo anaweza kuikwamua TZ! Otherwise huu ni ulimbukeni tu!! Lowassa anaujua ukweli wa ufisadi anaotuhumiwa kila kukicha!