mkosafedha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,330
- 277
ivi mkuu wimbo wa Diamond na wa msanii anayeitwa mkude wa huko matombo morogoro zinaweza kupata airtime sawa kwn tv?mkuu, sio kwenye matangazo...ni kwenye taarifa za habari za Channel Ten...Lowassa hupambwa zaidi ya wenzake na hupewa air time mara 3 zaidi ya watangaza nia wengine. umeona eeh?
ivi mkuu wimbo wa Diamond na wa msanii anayeitwa mkude wa huko matombo morogoro zinaweza kupata airtime sawa kwn tv?
Laki si pesa na Lizaboni mpaka sasa wanatangatanga hawajui wamfuate yupi ndani ya ccm. Wewe fuatilia maoni yao hapa JF
hapo mkuu umetisha kama jina lako..Watanzania mnashangaza sana... As much as i want lowasa and ccm to perish i wont entertain this stupidity ya watu kuja na malalamiko yasiyo na kichwa wala mguu... Huyo rostam kanunua lini ch ten na hata kama kainunua mtoa mada analazimishwa kuiangalia? Huu ni upuuzi kuandika humu hakutamfanya lowasa asiende ikulu.. Kama unataka lowasa asiende ikulu kajiandikishe na hamasisha wengine wajiandikishe bila kusahau juwapa elimu ya uraia ili wasidanganyike na khanga na vitenge.. Hizi lowasa kafanya hichi kafanya kile bila ushahidi ni upuuzi usiovumilika na mara zote walalamikaji ni hao hao makuwadi wa wapuuzi wale wale ndani ya ccm!
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia namna Channel Ten inavyotumika kumpamba Lowassa kwenye taarifa zake za habari, na kufanikiwa kuunganisha dots kama ifuatavyo:
Siku zote Channel Ten wamekuwa wakiripoti taarifa za Lowassa kwa ustadi wa hali ya juu sana na taarifa zake hupewa air time ya kutosha tofauti na wagombea wengine ndani ya CCM.
Huu ni mpango maalumu wa Rostam Aziz (mmiliki wa Channel Ten) kumpigia debe fisadi mwenzake ili pindi akifanikiwa kuingia ikulu ya magogoni washirikiane naye kuiba rasilimali za taifa.
Mtakumbuka kwamba Lowassa, Chenge na Rostam ni mapacha watatu (utatu wa KIFISADI) ndani ya CCM. Hawa watu hawakukutana barabarani. Wamekuwa wakishirikiana katika shughuli zao za kulihujumu Taifa kwa muda mrefu sasa.
Mtakumbuka hata Nape Nnauye alijaribu kuwavua magamba akawashindwa. Endapo EL atafanikiwa kuingia ikulu mwaka huu, basi elewa kwamba ikulu yetu itageuka kuwa pango la wanyang'anyi. Tuwe makini na mafisadi hawa na kamwe tusiwaruhusu kuisogelea ikulu yetu.
Fadhila hulipwa na hata kama hautalipa kwa fedha utalipa tu.
Ni mmoja wa watu ambao Lowasa anawawaza sana kama ni sehemu ya watu wake wanaompa nguvu.
Yule dada ni yule ripota wao wa Arusha ndo nimemsikia mara zote akimlipotia, hawa wamehongwa tu kama wachumia tumbo wengine ijapokuwa hawatafanikiwa
Yule dada ni yule ripota wao wa Arusha ndo nimemsikia mara zote akimlipotia, hawa wamehongwa tu kama wachumia tumbo wengine ijapokuwa hawatafanikiwa