tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 26,021
- 25,423
wewe ni ndoooooorobo! unajua kashfa ya UFISADI iliyopelekea rostam kuutema ubunge na kukimbilia nchini kwao India kabla Nape Nnauye hajamvua gamba au unakuja kuweweseka hapa kama kuku anayeta kiota cha kutagia?
Heeeee!yaani rostam kwao ni india?salaleeeee
Kanunue ndimu ukamue ujaribu kujinasua na hicho kichefu chefu...
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia namna Channel Ten inavyotumika kumpamba Lowassa kwenye taarifa zake za habari, na kufanikiwa kuunganisha dots kama ifuatavyo:
Siku zote Channel Ten wamekuwa wakiripoti taarifa za Lowassa kwa ustadi wa hali ya juu sana na taarifa zake hupewa air time ya kutosha tofauti na wagombea wengine ndani ya CCM.
Huu ni mpango maalumu wa Rostam Aziz (mmiliki wa Channel Ten) kumpigia debe
HAO walishashiba tayari waibe ili iweje asee?.
sasa upeleke ikulu watu kama kina msigwa,hadi wakatengeze vitambi,ndo walete maendeleo saa ngapi?
yaani kwa lugha nyingine ni kwamba wewe umeridhika na huo ufukara wako wa kutisha , umetia aibu sana !Kanunue ndimu ukamue ujaribu kujinasua na hicho kichefu chefu...
tpaul
kama wewe ni mtoto wa kiume bac punguza wivu wa kike.na unapotaka kudanganya angalia na unao wadanganya.Yaani Rostam ni raia wa India?au umekosea kuandika
yaani kwa lugha nyingine ni kwamba wewe umeridhika na huo ufukara wako wa kutisha , umetia aibu sana !
Marekebisho channel ten haimilikiwi na rostam aziz ni mzungu ndio mmiliki wa channel 10. Labda kama wamekula kanadaras ya kumpigia debe lowassa na kuhusu mtangazaji ni jamila ommar wa arusha ndio yupo kwenye msafara wa el
Kanunue ndimu ukamue ujaribu kujinasua na hicho kichefu chefu...
Jaman naona video ya matangazo ya mgombea mwingine na lowasa halaf tuangalie dakika mm siamin hili naona ni uzushi tuu na chuki Ndio ile ya Malima kusema mengi anajipendelea kwenye taarifa zake yale yalikuwa madai ya kijinga kabisa
Mkuu leo ndio unanifumbua macho,kumbe channel ten ni Mali ya rosttam?