Mmmmmm, CCM ina hazina ya watu wengi tu. Mimi naamini maombi makubwa ya UKAWA ni CCM ifanye makosa ya kumpitisha Lowassa ili iwe rahisi kwao, maneno yanayoenezwa mitaani kuwa kiboko ya UKAWA ni LOWASSA yanaenezwa na wana UKAWA wenyewe ili kuwapotosha CCM waingie mkenge.yeyoyeyo atakayepitishwa na magamba hatafurukuta kwa mgombea wa UKAWA.
MKUU, UKAWA achana nao, hawana jipya matokeo ya Serikali za mitaa ukiyajumlisha ya NCCR, CUF na CHADEMA hata hawafikii nusu ya ushindi wa CCM, halafu muungano wa UKAWA ni muungano wa viongozi tu wanachama wao hawajui lolote kuhusu Muungano huo.Kwani UKAWA mna mgombea urais nyie? Naona mnahangaika tu mara kwa Padre Mzinifu mara kwa Sheikh bwabwa almradi mnatweta tu
Hakuna rais tajiri Afrika kama Jakaya KikweteMkuu Lizaboni kinacho fanyika sasahvi kwenye siasa ni biashara kubwa ,urais imekua sio kutumikia tena wananchi bali ni biashara tena biashara isiyo na hasara na yenye uhakika wa faida kubwa. Iwe Rostam, iwe apson, iwe Chenge joka kubwa lenye makengeza ,yoyote atakayejiunga na kambi ya Lowasa itakua kwa ajili ya kuchuma pesa tu.
Hao wote uliowataja wanaongoza magenge makubwa ya wafanya biashaara wa ndani na nje ya nchi wanchotaka wao ni kimoja tu Lowasa ashinde kwa namna yoyote ile hata kwa kumtoa Kikwete kesho wanacho taka wao ni kupora rasilimali za Watanzania. Watanzania na tuombe Mungu kikombe hiki kituepuke.
Najaribu kutabiri kizingiti cha utamu wa madaraka nashindwa sipati jibu, hivi mtu anawezaje kustaaru cheo kikubwa kama cha Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa halafu akawa na uchu wa kurudia cheo hicho kama huyo Apson? Hizi tamaa ni za nini?Weledi unaozungumzwa hapa ni wa kupanga mikakati. Si vinginevyo. Kumbuka Apson anampigania Lowasa kwa vile ameahidiwa kupewa kazi maalum ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa. Rostam anamsaidia Lowasa kwa lengo la kutunyonya Watanzania. Hizi ni kambi mbili zenye malengo tofauti kwa Lowasa
Mkuu muhimu ni yaliyomo. Jitahidi kuelewa mantiki ya Mwandishi na siyo mpangilio wa mada yake.Uandishi mbovi sijapata kuona.nahisi kutaka kutapika.
Bora wewe Mkuu. Lakini kusubiri miaka 15 huku tukinyonywa na hawa mafisadi papa hakika ni maumivu makali sana
Watanzania tuna imani na Lowasa na ni mwanaume wa shoka, Ccm wote mafisadi.
Sijawahi kufikiria kujiunga na Team Lowasa. Sitarajii kufanya hivyo. Kwangu mafisadi ni wabaya kuliko hata ya magaidi
Watanzania tuna imani na Lowasa na ni mwanaume wa shoka, Ccm wote mafisadi.
Hahahahahahahahahahahahaha! Siamini kama haya maneno yameandikwa na gamba la fisi lilokomaa.
Hivyo ndivyo akili yako Mkurugenzi mzima wa idara ya Habari na maelezo ilipogotea. Ndio maana idara unayoiongoza imepoteza dira na mwelekeo kutokana na kuongozwa na Mburula kama ww. Hiyo ndio tatizo la vyeo vya kitandani unatoka "kugongwa" na Member hata haujanawa unapewa cheo.
Hapana wakuu. Ni mie mwenyewe na nimeandika haya kwa utashi wangu na ndio uhalisia. Watu wanapiga mabilioni ya EPA, RICHMOND ESCROW nk then utegemee wananchi wa kawaida wawe na maisha bora? Haiwezekani na haitakuja kuwa hivyo. Siku zote bepari kama Rostam Aziz na wengineo wanawaza jinsi ya kutunyonya watanzania. Ujinga mtupu. Mbaya zaidi kinapakaziwa chama chetu na serikali yetu kumbe kuna manyang'au machache yamejikusanya na yanapiga deal hizi kinyemela
Kichafu huwa hakichafuliwi. Ni sawa na kinyesi ama mkojo. Lowasa ni mchafu hivyo inashangaza kusikia kuwa anachafuliwa
we must crack down CCM as a whole and not poor Lowassa who has been natured by this complex group of gangsHapana wakuu. Ni mie mwenyewe na nimeandika haya kwa utashi wangu na ndio uhalisia. Watu wanapiga mabilioni ya EPA, RICHMOND ESCROW nk then utegemee wananchi wa kawaida wawe na maisha bora? Haiwezekani na haitakuja kuwa hivyo. Siku zote bepari kama Rostam Aziz na wengineo wanawaza jinsi ya kutunyonya watanzania. Ujinga mtupu. Mbaya zaidi kinapakaziwa chama chetu na serikali yetu kumbe kuna manyang'au machache yamejikusanya na yanapiga deal hizi kinyemela
nitajie huyo ambae sie fisadi ndani ya CCM
Tutakuwa watu wa ajabu sana kama tutachagua viongozi wanaotafuta uongozi kwa kununua watu.kitukuu_
Hakika inasikitisha sana Mkuu. Cha kushangaza ni kwamba kuna Watanzania tena wenye akili timamu wanashabikia vitendo hivi vya kupora wazi wazi rasilimali zetu.
Wewe ni mgonjwa, JK hata mtoto wa juzi tu, Nkurunzinza anamzidi kwa mali.