Rostam Aziz amekuja kumharibia Lowasa badala ya kumjenga

Rostam Aziz amekuja kumharibia Lowasa badala ya kumjenga

Weledi unaozungumzwa hapa ni wa kupanga mikakati. Si vinginevyo. Kumbuka Apson anampigania Lowasa kwa vile ameahidiwa kupewa kazi maalum ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa. Rostam anamsaidia Lowasa kwa lengo la kutunyonya Watanzania. Hizi ni kambi mbili zenye malengo tofauti kwa Lowasa

Haya unayoyaandika leo yanatoka moyoni mwako kabisa au ni kwakuwa umekosa namba ndani ya Team Lowassa?.
 
Rostam ccm mmempa eneo lote la oysterbay polisi kwa kigezo eti ni muwekezaji toka south africa
 
Wapo wengi tu mkuu. Ila wachafu wanahesabika. Lowasa, Chenge, Rostam nk

Kwa nini mmeshindwa kuwachukulia hatua za kuwapeleka Mahakamani pengine hata kuwavua gamba muda wote huu wakati mulikuwa mnawajua tangu zamani kuwa ni wachafu?.
 
kitukuu_
Hakika inasikitisha sana Mkuu. Cha kushangaza ni kwamba kuna Watanzania tena wenye akili timamu wanashabikia vitendo hivi vya kupora wazi wazi rasilimali zetu.
Halafu wenyewe hapa jukwaani hoja zao wanakwambia hakuna mtu aliye msafi au asiyetumia fedha kutoa rushwa ili achaguliwe kuwa kiongozi.inasikitisha sana mkuu.
 
kitukuu_
Hakika inasikitisha sana Mkuu. Cha kushangaza ni kwamba kuna Watanzania tena wenye akili timamu wanashabikia vitendo hivi vya kupora wazi wazi rasilimali zetu.

Watanzania tuna imani na Lowasa na ni mwanaume wa shoka, Ccm wote mafisadi.
 
Last edited by a moderator:
Haya unayoyaandika leo yanatoka moyoni mwako kabisa au ni kwakuwa umekosa namba ndani ya Team Lowassa?.
Sijawahi kufikiria kujiunga na Team Lowasa. Sitarajii kufanya hivyo. Kwangu mafisadi ni wabaya kuliko hata ya magaidi
 
Watanzania tuna imani na Lowasa na ni mwanaume wa shoka, Ccm wote mafisadi.
He! Mkuu Matola? Kwa nini unashabikia mafisadi kiasi hiki? Umekumbwa na jinamizi gani?
 
Mambo ya msingi yanapaswa kusemwa hadharani. Hatuwezi kuacha chama kinaharibiwa na watu wachache ambao wanafahamika

Akiingia Magogoni team Membe lazima muikimbie Lumumba.
 
Halafu wenyewe hapa jukwaani hoja zao wanakwambia hakuna mtu aliye msafi au asiyetumia fedha kutoa rushwa ili achaguliwe kuwa kiongozi.inasikitisha sana mkuu.
Kwa maana nyingine ni kwamba wanahalalisha vitendo vya rushwa. Nchi ina laana sana hii
 
Akiingia Magogoni team Membe lazima muikimbie Lumumba.
Sijawahi kuwa kwenye timu ya mafisadi. Memb na Lowasa wote ni mafisadi na wanatumia makundi yao kuharibu chama. Wote wafilie mbali
 
Maneno meeengi! Yote ya nini hayo!? Kama Lowassa akiharibiwa, kwako wewe si ndio safi? Sasa unaandika nini hapa?

By the way, hivi wewe mleta mada ndio unaijua michezo ya siasa zaidi ya Rostam? Mtu ambae ameshiriki kwenye kampeni kadhaa za nafasi ya urais? Acha ukilaza wako. Get a life.
 
Ather Mwambene a.k.a Lizaboni hauna jipya unalolijua kwani habari ya kumuharibia au kumjenga ww inakuhusu nini ama inakuuma nini? Zungumzia habari ya Membe uliyekuwa unamuunga mkono hapo nyuma kwani siku hizi nasikia umehamia kwa Pinda na kwenye vikao vyake unashiriki kwa ajili kuvujisha siri za Membe. Endelea na kazi yako ya ukuwadi
 
Maneno meeengi! Yote ya nini hayo!? Kama Lowassa akiharibiwa, kwako wewe si ndio safi? Sasa unaandika nini hapa?

By the way, hivi wewe mleta mada ndio unaijua michezo ya siasa zaidi ya Rostam? Mtu ambae ameshiriki kwenye kampeni kadhaa za nafasi ya urais? Acha ukilaza wako. Get a life.
Hakika Lumumba tumeingiliwa. Yaani nyie akina HAMY- D leo mmekuwa timu ya mafisadi? Mmekumbwa na jinamizi gani? Nilikuwa nakuheshimu sana wewe. Kwa jinsi unavyojidhalilisha hakika nimekudharau sana
 
Ather Mwambene a.k.a Lizaboni hauna jipya unalolijua kwani habari ya kumuharibia au kumjenga ww inakuhusu nini ama inakuuma nini? Zungumzia habari ya Membe uliyekuwa unamuunga mkono hapo nyuma kwani siku hizi nasikia umehamia kwa Pinda na kwenye vikao vyake unashiriki kwa ajili kuvujisha siri za Membe. Endelea na kazi yako ya ukuwadi

Ha ha ha ha magambani kumekucha.
 
Weledi unaozungumzwa hapa ni wa kupanga mikakati. Si vinginevyo. Kumbuka Apson anampigania Lowasa kwa vile ameahidiwa kupewa kazi maalum ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa. Rostam anamsaidia Lowasa kwa lengo la kutunyonya Watanzania. Hizi ni kambi mbili zenye malengo tofauti kwa Lowasa
Wewe lizaboni tunakujua ni team membe na mwenzako Simiyu mambo ya lowasa hayakuhusu team membe baada ya mkakati wenu wa kumuondoa lowasa ndani ya ccm kushndwa na huu wa pili wa kumfungia asgombee kushndwa naona mmechanganyikiwa sasa nenden uwanjan mtaona moto wa lowasa rais wetu
 
Wewe lizaboni tunakujua ni team membe na mwenzako Simiyu mambo ya lowasa hayakuhusu team membe baada ya mkakati wenu wa kumuondoa lowasa ndani ya ccm kushndwa na huu wa pili wa kumfungia asgombee kushndwa naona mmechanganyikiwa sasa nenden uwanjan mtaona moto wa lowasa rais wetu
Nimeshalieleza hili tangu kitambo. Sipo Team Membe na wala sina kundi. Nipo huru naongozwa na utashi wangu
 
Weledi unaozungumzwa hapa ni wa kupanga mikakati. Si vinginevyo. Kumbuka Apson anampigania Lowasa kwa vile ameahidiwa kupewa kazi maalum ndani ya Idara ya Usalama wa Taifa. Rostam anamsaidia Lowasa kwa lengo la kutunyonya Watanzania. Hizi ni kambi mbili zenye malengo tofauti kwa Lowasa

Punguza presha mkuu...vp kundi lako??hamgawi mafwedha?
 
WTF,sasa wewe kinakuwasha nini ikiwa Lowassa anaharibiwa?Pilipili usokula zakuwashiani

Wamezidiwa hawa😀team yake sijui imeishiwa anakuja hapa kutaka huruma ya watanzania...zibuaneni nyie si vijogoo😕
 
Back
Top Bottom