Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Hebu nikumbusheni jamani.............hivi hii ni Episode ya Ngapi katika Movi ya kujivua gamba?? Ila kitakachotokea next.............
Atafata Chenge, Lowasa, Kikwete....
 
Walipoitwa ofisi ndogo ya Lumumba kuhojiwa kati ya mapacha RACHEL, Rostam ndiye pekee aliyelegeza kamba,alipohojiwa baadaye na chanzo kimojawapo na kukaririwa na gazeti la mwanahalisi alisema siwezi kubishana na mwenyekiti wangu

Kama ni kweli wacha aende lakini mapacha wawili waliobakia itakuwa mbinde
 
CCM tumeonyesha njia twasubiri CDM mfukuzeni Dr. Slaa kwa wizi wa mke wa watu!

Acha pumba mkuu; kwani CCM si mlishindwa kumfukuza na hapa ameamua mwenyewe kuachia ngazi njia mmeonyesha wapi?. Kama mna ubavu mfukuzeni EL tuone.

Halafu unapochanganya suala la Dr. Slaa na la Wizi wa fedha wakati yule mama yuko pale kwa hiari unakuwa una maana akili yako imekwama kabisa kufikiri mkuu. Yaani hapa inabidi akili yako ikafanyiwe service Mirembe.
 
naenda kugombea jimbo la igunga, chadema nipeni nafasi hiyo.. Hakuna fisadi lolote kurudi mjengoni. Magamba bye beye
 
Server ita blow sasa hivi.....
There are currently 606 users browsing this thread. (164 members and 442 guests)
 
hii tone ya hotuba inaonekana imeandikwa na Mr Bashe....nimewakubali kwa timing na hii pia imedhihirisha kuwa Nape ni Mende na Akina Bashe and co ni makabati.....Nape amekwenda kwa utashi wake New Habari akarecordiwa na ujumbe kuhifadhiwa na kusambazwa ili kuhakikisha record hazipotei. baadaye wakaanda hotuba yenye vijembe kwa Nape na kujivua gamba, na aliyoyalopoka Nape yatatumika pia kama ngao ya RA ili mtu akimwaga ugali yeye amwage mboga na ahakikishe unamwagishe sawasawa.....

binafsi sina cha kushangilia mpaka Pesa walizoiba zirudishwe na hatimaye wachukuliwe hatua....vile viusemi vya nchi itayumba ni vya kizushi ....ni ccm peke yake itakayoyumba na kufa na siyo nchi....No one is bigger than the Country.
 
Rostam Aziz is:?
hawa watu wasikushangaze.. % kubwa walipiga kura za kuirudisha magamba madarakani last year.. Sasa hivi mgao unawapiga hadi mata**i.. 2015 wanasahau tena wanaipa magamba ..pumb*** zao.
 
Mlisema hayawi sasa yamekuwa, haya wapiga vinanda wa CDM, semeni jingine. CCM oyee.
 
s.ivuga next mbunge wa igunga.
Nipe kura yako
mimi bungeni ngumi mkononi lazima mtu atolewe jino au aoteshwe nundu.
 
  • Thanks
Reactions: Obe
ha ha ha haaaa actually hili a RA hata halijanishtua, kujiuzulu NEC na ubunge hakumzuii kuendelea kuongoza nchi hii
siku zote naamini yeye ndio kiongozi wa nchi hii... there iz nothing special in this he will continue being RA the ruler of URT!!
 
Mlisema hayawi sasa yamekuwa, haya wapiga vinanda wa CDM, semeni jingine. CCM oyee.
Omary mnajidanganya, the guy is comming up with the 2nd tactic - game is just starting my friend, msije mkagongesha glass za wine, fikisha ujumbe huu kwa NAPE as well. CCM IS NOT SAFE:
 
Matunda ya siasa za Nape hayo?, wengine tumekaa mkao wa kula, CDM jimbo hilo na mkiweza mtumieni huyo huyo RA, atawasaidia kulipata.
 
Hii haisaidii watanzania.., Jamaa kashavuna sasa anaondoka.., inabidi arudishe kile alichokiiba (awajibishwe na kufilisiwa) ile iwe fundisho...,

Otherwise hii ni Business as Usual
 
Back
Top Bottom