Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,608
- 5,269
labda anajifukuzisha mwenyewe chama kwenye chama...Kwani ana nyadhifa ipi kwa sasa CCM. Wacha kudanganya watu.
labda anajifukuzisha mwenyewe chama kwenye chama...Kwani ana nyadhifa ipi kwa sasa CCM. Wacha kudanganya watu.
Nafasi ipi? U-NEC? UBUNGE? Au vyote!confirmed an resign leo
confirmed an resign leo
NI KWELI LAKINI! Angevuliwa uanachama ili aachie ubunge ningeelewa.Kwani ana nyadhifa ipi kwa sasa CCM. Wacha kudanganya watu.
Ujumbe wa NEC na CC sio nyadhifa. Huo ni uwakilishi.Mjumbe wa NEC na CC........au hizi sio nyadhifa dadaangu?
confirmed an resign leo
Tungoje, tusikilize tusikurupuke.akishajivua ubunge na nafasi mbali mbali katika nec... atuambie kwa nini ameamua kujivua hizo nafasi
CC aliondoka siku nyingi akaja Amos Makalla. Amebaki na ujumbe wa NEC na UBUNGE.Mjumbe wa NEC na CC........au hizi sio nyadhifa dadaangu?
Confirmed: Huu ni uzushi tena mkubwa sana. Rostam et al wamekutana na JK jana Serengeti na wameendelea kuweka mambo yao sawa. Ndoa ya mapacha na Jk iko waswahili wanasema MSWANO!
Tungoje, tusikilize tusikurupuke kama chadema.
Confirmed: Huu ni uzushi tena mkubwa sana. Rostam et al wamekutana na JK jana Serengeti na wameendelea kuweka mambo yao sawa. Ndoa ya mapacha na Jk iko waswahili wanasema MSWANO!
Jina la Rostam linauzika. Hivi Dr. Slaa siku hizi idle kama mimi house wife, naona habanduki JF, au yupoi maternity leave?
Leo umeshasahau wanavyokurupuka kuta loop holes? Kumbuka Arusha, mara maandamano wanapinga Meya mpaka watu wamekufa, wameumia, wameharibu mali zao, mara ghafla muafaka. Kama si kukurupuka ni nini huko?Nani kakwambia CDM wanakurupuka??
JK yupo leave. Serengeti au hujaona nyuzi inayosema hayo leo humu humu JF?Jeykey mwenyewe yupo hapa anapata habari
Arudishe fedha zetu alizotuibia kupitia mradi wa Kagoda, Na hasara ilisababishwa Upuuzi wa Dowans.
Hizo zingine ni porojo na ukenge wa ccm. . !