Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Enzi za usalama wa Taifa, ule usalama wa taifa kweli kweli wa Mwl Nyerere, huyu leo angerudishwa dsm chini ya ulinzi mkali na kuwekwa kizuizini hadi serikali ipate mali zote alizokwiba!
Lakini kwa usalama wa taifa wa sasa hivi ambao kiukweli ni usalama wa mafisadi, mtasikia anapongezwa!
 
RA kaamua kufa Kiume na tai shingoni duh, ngoja tusubiri wazee wazima EL na mzee wa havadi aka vijicent- pale ni mziki munene.
 
well calculated exit plan

his projects inside ccm had made tremendous returns on investment

my verdict: i wonder if this is a plea bargain if not then let him face the music by sentencing him in the court of law as a result of self confession
 
Duh!kama ni kweli basi haya ni maamuzi magumu ambayo tulikuwa tunayasubili kwa muda mrefu!!
 
KINGMAKER
images
 
Uamuzi wa busara kachukuwa bado wengne nao.
 
CCM tumeonyesha njia twasubiri CDM mfukuzeni Dr. Slaa kwa wizi wa mke wa watu!
 
Sawa yote tisa, kumi fedha ulizowaibia watanzania utazirudishaje. This is nonsense kujiuzulu, mali za walalahoi ulizoiba, mikataba mibovu uliyoshiriki kufaidi nguvu za umma,. Wewe na vizazi vyako vyote vijavyo mtalipa haki zetu kwa uzao wa watanzania maskini ujao.
 
Enzi za usalama wa Taifa, ule usalama wa taifa kweli kweli wa Mwl Nyerere, huyu leo angerudishwa dsm chini ya ulinzi mkali na kuwekwa kizuizini hadi serikali ipate mali zote alizokwiba!
Lakini kwa usalama wa taifa wa sasa hivi ambao kiukweli ni usalama wa mafisadi, mtasikia anapongezwa!

waho humu wana peruuzi shauri yako hukawii kusaidia upelelezi - lol
 
Naona amefanya uamuzi siku 90 on dot.
TUNATAKA NA WALIOSHINDWA KAZI AKIANZIA WILLIAM NGELEJA NA MALIMA NAO WAFUATE KWENYE HII LIST ASAP!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ndugu zanguni CCm wanataka kuonyesha nini hapa kama si kuhamisha mjadala wa kushindwa kwa serikali kuhusu kuwapatia waTZ umeme wa uhakika.

CHADEMA hakikisheni jimbo la igunga nalo mnalikomba!!!
 
nafasi ya ujumbe halmashauri kuu kupitia mkoa wwa tabora iko wazi, jimbo la igunga lipo wazi, what next to RA? mahakamani tu akajibu hizo tuhuma.
 
Hebu nikumbusheni jamani.............hivi hii ni Episode ya Ngapi katika Movi ya kujivua gamba?? Ila kitakachotokea next.............
 
Akirudisha na pesa yetu na faida atakuwa amepunguza maumivu..ingawa hawezi kurudisha uhai wa dungu zetu walio tangulia mbele ya haki kwa ufisadi wake...
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Back
Top Bottom