Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Rostam Aziz aachia ngazi CCM

Justice has been done. Congratulations to RA for this Stiff Decision!

It is now a good time for AC and EL to follow the footsteps for betterment of CCM.
 
Rostam umeonyesha njia - Lowassa na Chenge mnasubiri nini?

MAAMUZI YANGU

Msukumo huo si mwingine bali ni ule wa kuamua kuachia nafasi zangu zote za uongozi ndani ya chama, nikianzia na ile ya ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa nikiuwakilisha Mkoa wa Tabora na hii ya ubunge wa Igunga ambazo kama si kwa baraka za chama changu nisingelikuwa nazo.

 
the end of the end ....ujenzi wa BABEL ndiyo unaendelea! Ngoja tunaona sasa unafika patamu, mmoja anatumwa alete ubao badala yake analeta maji.
Jamani kondoo sisi wa zizi la TZ, ndiyo mzee anaanza kukabidhi na kutuaga hivyo, dual citizenship ...mwenye kudai na aseme mapema la sivyo mtasikia "wamiliki wa Kagoda hawaonekani na mwenye kujua aisaidie serikari"!!!
Akirudisha na pesa yetu na faida atakuwa amepunguza maumivu..ingawa hawezi kurudisha uhai wa dungu zetu walio tangulia mbele ya haki kwa ufisadi wake...
 
Keep us updated, all eyes naelekeza TBR. Je anafanyia wapi hiyo press conference (namaanisha ukumbi gani hapo TBR? )

Hizo nyadhifa ni za ccm pekee au na Ubunge anautema?

Toa chanzo cha habari na mkutano utafanyikia wapi ili tuwe na uhakika isije ikawa ni kutaka kutupotezea muda. Na ikiwa kweli basi nategemea aachie pia ubunge

Hiyo bado haitamtakasa. Haachie na ubunge.

Hii nchi ya ajabu sana.........kwamba rostam ni mchafu mbele ya ccm lkn ni msafi sana ndani ya bunge na machoni pa watz.........inatakiwa akijivua gamba akamatwe fasta afunguliwe mashtaka na kesi yake iendeshwe haraka sana na kisha afungwe alafu mali zake zote zitaifishwe...."najua ni ndoto za mchana kwani tangu lini kikwete akakubali mapendekezo km haya"

Ubunge hawezi achia kwani kanuni za bunge na katiba bado vinaruhusu mafisadi kuwa waheshimiwa. Tena, hawana aibu kabisa hata mtu akipatwa na kashfa ya aibu lakini ubunge haachii.

Hivi ubunge sio wadhifa?
Damn!

Faiza ubunge ni nini?

Vichwa vya JF hivi, hawa wote wamechangia hii habari pasipo kuisoma vizuri ingawa habari inaelezea vyema juu ya yeye kuachia Ubunge hawa bado wanauliza juu ya swali hilo hilo?!
 
Ukiisoma hoyuba yake ni kama anasingiziwa,lol, ukiufuatilia uhalisia unagundua kuwa jamaa si mfanyabiashara wa kimataifa bali 'tapeli la kimatiafa kwani unamkuta katika kila deal chafu linalowatia umaskini watz. Nadhani 6 ni wakati wako kujiangalia kikamilifu na ile chama yenu na Nape
 
Kama uvumi huu ni wa kweli, Hongera CHADEMA, kama si hiki chama dhana ya kujivua gamba ingetoka wapi? tukubali tusikubali huu ni ushindi wa CDM
 
s.ivuga next mbunge wa igunga.
Nipe kura yako
mimi bungeni ngumi mkononi lazima mtu atolewe jino au aoteshwe nundu.
mkuu mbona unaniogopesha wakati mimi nimeshachukua form tayari leo.
 
huu ndo muda wa kumuandaa kamanda wa uhakika akalibebe lile jimbo,mipango ya kumssurpot ianze mapema in terms of money and human resources kwa ajili ya kampeni na naamini wapenda mabadiliko kama mimi tutachangia kwa sana tu...
 
Natamani Mbunge wangu wa mafia na yeye angaliachia ngazi. maana yeye anatuhujumu watu wa mafia kimaendeleo
 
Mlisema hayawi sasa yamekuwa, haya wapiga vinanda wa CDM, semeni jingine. CCM oyee.

watu wengine bana.. hivi umesoma hata hiyo hotuba ya rostam kweli wewe au unashangilia tu ili mradi na wewe uonekane umo?

msome rostam vizuri ndio uje kuchangia hapa
 

Vichwa vya JF hivi, hawa wote wamechangia hii habari pasipo kuisoma vizuri ingawa habari inaelezea vyema juu ya yeye kuachia Ubunge hawa bado wanauliza juu ya swali hilo hilo?!
Mkuu wewe kichwa cha kweli ungeweza kuona kwamba hii habari imekuwa-updates so inamaanisha labda ilipotoka ilikuwa haijaelezea hayo uliyoyaona wewe...
 
jamani wana JF tusibweteke na hii hotuba nzuri ya RA, kuna mengi ya kujiuliza hapa. hii ni moja ya episode kadhaa zinazofuata.
 
Safi sana Rostam Aziz, utatusaidia sana Wana wa Nchi hii kwa kutofumba mdomo, tusaidie namna ya kupata pesa zetu zilizoporwa na wewe na Mafisadi wenzako ndani ya Chama Chenu ili JK aingie madarakani mwaka 2005, tusaidie...tusaidie.......tafadhali ili tuwawajibishe wote walioingia madarakani kwa pesa za wizi!
 
CCM tumeonyesha njia twasubiri CDM mfukuzeni Dr. Slaa kwa wizi wa mke wa watu!

Usizungumze kama zuzu kwani RA amejivua gamba la kuchukua mke wa mtu. Yaani kwenye mambo ya msingi yanayohusu raslimali za taifa we unaleta us#%^&e wako. Shika adabu.
 
Bado sina uhakika na habari hii ni kweli au la kwasababu inawezekana mtu ameandika tu kujua maoni ya watanzania yakoje. Ila kama ni kweli hii calculated move towards 2015 election. Hebu tafakarini wanajamvi Lowassa ameanza kuikosoa serikali, mara tunamwona kipaumbele katika maafa, misaada ya ujenzi wa shule (zamani alikuwa haonekani hasa alipoachia madaraka ya uwaziri mkuu). Kwakuwa ndani ya chama kuna waka moto mbio sasa zimehamia katika wafuasi wa CCM kuonyesha nani anayekubalika zaidi ndani ya chama.

Tafakari mdanganyika, Lowassa misaada kwa wingi na kukosoa serikali aliyokuwamo mwenyewe, rostam kajiuzulu kukijenga chama= 2015 presidential nomination and campaign.

Nilikuwapo
 
Back
Top Bottom