Msiwe matomaso wakuu, tayari jimbo li wazi hilo -- ngoja niwahi form pale kinondoni. lol
Hoja: Kama CCM ina siasa za kuchafuana kwa nini asirudishe na kadi kabisa ili awe mfanyabiashara 100%? na kwa nini alichanganya biashara na siasa miaka yote hiyo wakati anajua kuchanganya SIASA na BIASHARA hairuhusiwi kisheria ktk nchi yetu? (Miiko ya uongozi). Je tukisema alitumia SIASA kujificha na kukwapua tender kubwa kubwa serikalini tutakuwa tumekosea? Ana hisa kiasi gani kwenye makampuni ya Kitanzania? Caspian, Vodacom na mengineyo?
RA bado una hoja za msingi ambazo watanzania tunajitaji majibu:
Hoja: Kama CCM ina siasa za kuchafuana kwa nini asirudishe na kadi kabisa ili awe mfanyabiashara 100%? na kwa nini alichanganya biashara na siasa miaka yote hiyo wakati anajua kuchanganya SIASA na BIASHARA hairuhusiwi kisheria ktk nchi yetu? (Miiko ya uongozi). Je tukisema alitumia SIASA kujificha na kukwapua tender kubwa kubwa serikalini tutakuwa tumekosea? Ana hisa kiasi gani kwenye makampuni ya Kitanzania? Caspian, Vodacom na mengineyo?
RA bado una hoja za msingi ambazo watanzania tunajitaji majibu: